Nabii Mkuu Dkt GeorDavie amekabidhi gari moja la mkuu wa kituo cha polisi Tengeru kati ya mawili anayoyatengeneza kwa jeshi la polisi Mkoani Arusha kwa lengo la kupambana na uhalifu nakuimarisha ulinzi huku akitarajia kujenga kituo cha polisi Moivo katika kata ya Sekei Mkoani Arusha
Afisa...
Nabii Mkuu Dkt GeorDavie amekabidhi gari moja la mkuu wa kituo cha polisi Tengeru kati ya mawili anayoyatengeneza kwa jeshi la polisi Mkoani Arusha kwa lengo la kupambana na uhalifu nakuimarisha ulinzi huku akitarajia kujenga kituo cha polisi Moivo katika kata ya Sekei Mkoani Arusha
Afisa...
Balozi wa Marekani nchini Tanzania amesisitiza hataacha kuzungumzia maswala ya demokrasia na haki za kinyume na alivyoagiza rais Samia Suluhu Hassan.
Balozi wa Marekani nchini Tanzania Michael Battle amesisitiza kwamba haitaacha kukosoa ukiukwaji wa haki za binadamu na kuminywa kwa demokrasia...
Mpina kapata wapi zile verified infos za Sukari? Nani yupo nyuma yake? Unadhani target ni Bashe? Kwanini Kuna Watu wanatupwa nje ya ukuta pale ikulu? Unadhani ni bahati mbaya marehemu kuteuliwa au barua zao kuwa na makosa kila siku Kama mwandiko wa chekechea? Kuna mtu hatakiwi kurudi mahala na...
Rwanda yaeleza wasiwasi wake kufuatia Marekani kuwa na utata kuhusu watu waliouawa katika mauaji ya kimbari ya mwaka 1994
Rais wa Rwanda Paul Kagame ameeleza wasiwasi wake kutokana na Marekani kuwa na utata kuhusu watu waliouawa katika mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda.
Kauli hiyo ya...
Ipo kimkakati haujiulizi kwanini Sasa? Na kwasasa kipindi ambacho ID ya M23 inawekwa wazi bila kificho haujajua nini nyuma ya pazia? Unafahamu nini kuhusu Desert Mission?
P
J
K
L
Uncoded Code Stay Tune yetu macho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.