Recent content by ojoromong'o

  1. ojoromong'o

    PreGE2025 Serikali yalifutia usajili Kanisa la Askofu Gwajima kwa kuingilia masuala ya siasa kwa nia ya kuichonganisha Serikali na Wananchi

    Hakuna kanisa linalounga mkono huo upumbavu wa Gwajima,aache kujificha kwenye kivuli cha kanisa
  2. ojoromong'o

    PreGE2025 Wanachama wa CHADEMA wachezea virungu Mahakamani katika kesi ya Tundu Lissu

    Kiburi cha kijinga,wameambiwa kwa ustaarabu ondokeni wanaanza kuleta ubishi usiokuwa na maaana
  3. ojoromong'o

    Wakenya watoa tahadhari kwa Watalii na Wageni kutembelea Tanzania kutokana vitendo vya Utekaji, Utesaji

    Hao "machokoraa" ni nani wa kuamini!?,muda wote wamelewa bangi na gundi
  4. ojoromong'o

    Siasa za mpira zimezikwa rasmi uwanja wa Amani, sasa tugeukie siasa za mabadiliko ya sheria za uchaguzi

    Mnatutisha sana sisi ambao tulikuwa tumeanza kuamini kuwa uenda vyama vya upinzani vishika madaraka wananchi watakuwa na uhuru wa kujiamulia mambo yetu,lakini kwa kauli hizi "nyinyi ni madikteta" kuliko hata hao wanaoongoza sasa,watu wote hatueezi kuwa wanasisa
  5. ojoromong'o

    Vijana wa Kenya sio kwamba wanajielewa isipokuwa ni vijana wasio na Adabu; waliokata tamaa

    Haya majibu yenu sasa ndio yanatupa wasiwasi,kila siku mnalalamika kuhusu udikteta halfu nyiyi tena mnataka kuwachagulia watu cha kufanya,hakuna nchi yoyote duniani ambayo watu wake wote wanajadili siasa tu,kama wewe hauupendi mpira wa bogo(Simba/Yanga) baki kwenye stress za CCM na CHADEMA
  6. ojoromong'o

    Tanzania Yashitakiwa Umoja wa Afrika kutokana na kukiuka Haki za Binadamu

    Ahsante kwa kurekebisha,hiyo diplomasia ya kuangalia upande mmoja ni ya-ovyoo!
  7. ojoromong'o

    Tanzania Yashitakiwa Umoja wa Afrika kutokana na kukiuka Haki za Binadamu

    Yeye kama ameshidwa kupambana na 'Kasongo' huko Kenya hasituletee stress zake Tanzania
  8. ojoromong'o

    Ni wakati gani ulianza kutokuwa na imani na Mbowe

    Leo mnamuita 'dalali' kesho mnamtaka aje mahakamani kuwaunga mkono kwenye kesi zinazomkabili mwenyekiti wenu,mbona mna-ndimi mbili!?
  9. ojoromong'o

    ...sitaki kuuona uume na sitaki nionekane uke wangu!

    ...aiseee!..."wa-nyumbani" sijui nikupe pole au hongera?,anyway bilashaka unastahili kupata mambo yote mawili.Kwanza pole sana kwa kuingia ktk majaribu na hongera sana kwa kujinasua,ktk mazingira kama hayo ata kama ingekuwa ni mimi ningefanya kama ulivyofanya wewe.Kuna baadhi ya...
  10. ojoromong'o

    Wabunge ruksa kutukanana na kutukana kwa mujibu wa sheria ya JMT

    ...mkuu mbona walisha pitisha sheria nyingi tu za kijinga,unaikumbuka ile sheria ya kukonyeza?(haijalishi unamatatizo ya macha au la,ni kwamba ukionekana tu unamkonyeza mwanamke bila ridhaa yake imekula kwako)...
  11. ojoromong'o

    Katibu wa CHADEMA Mbeya anaswa kwa rushwa

    ...CCM,POLISI,MAHAKAMA,TAKOKURU,MAGEZETI YA CHAMA/SEREKALI v/s NGUVU YA UMMA(CHADEMA)...
  12. ojoromong'o

    Pongezi za Nape kwa Dr. Slaa ni za kizushi na kinafiki

    ...kama na yeye sio-mnafiki aseme kadi yake ya CCJ iko wapi?...
  13. ojoromong'o

    JK akabidhi kadi za CCM 1138 ktk ziara yake LINDI.

    ...hao watakuwa ni shemeji zake,sinasikia raisi kaoa huko au kumbukumbu zangu hazijatulia?!....
  14. ojoromong'o

    Live Feeds: Kutoka mahakama Kuu ya Rufaa Kivukoni - Rufaa ya Lema, Dec 04, 2012

    ...palipo na mwanga giza halikai...kila la kheri kamanda LEMA...
Back
Top Bottom