Na hakuna wengine Zaidi ya CCM, watanzaniawenzangu iambieni CCM basi imetosha.Tunatamani kuziona na sisi Air Tanzania zikirukakama zilivo ndege za Ethiopia, Rwanda na Kenya.Jamani tunatamani kuiona TTCL ya Tanzaniaiking'aa zaidi ya Vodacom, Tigo na Airtel.
Jamani watanzania wenzangu mbona...