Recent content by Oistein

  1. O

    Natafuta mke

    Jamani wadada wa JF, Hivi hapa mbeya hakuna wanawake ambao ni either WALIMU AU MA-NESI ambao wapo single na wana uhitaji wa kupata mchumba/Mume wa maisha ili wafurahie maisha ya mume na mke na kujenga familia? Nauliza hivi kwa sababu wanapita kimya kimya tu hata salamu wajameni ? Au masharti...
  2. O

    Natafuta mke

    Habari zenu wadada wa JF, Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni mwanaume mwenye miaka 38, elimu yangu ni ya Chuo kikuu, Mkristo wa Roman Catholic, mwajiriwa serikalini, mrefu wa 168 cm; ninayeishi na kufanya kazi mbeya mjini; ninatafuta mwanamke ambaye yupo tayari kuanzisha...
  3. O

    Research Guidance and and Supervision for Master and PhD Students in Tanzania

    The above matter refers. I am writing here to invite all Master and PhD students who are pursuing various degree Programmes, and are struggling with their research proposal, writing their academic work (thesis or Dissertation). I know that most of the Universities in Tanzania they teach...
  4. O

    Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

    Mimi imenitokea hii: Niliweka tangazo kule love connect kuwa 'natafuta mke ' sio kuwa amepotea - hapana; yaani lengo langu nivute jiko niweke ndani. Wakati naandika tangazo nilikuwa na asilimia 100 kuwa JF imesheheni wadada wasomi na wanaojielewa. Natambua kuwa wapo wasomi hadi kufikia level...
  5. O

    GE2020 Tundu Lissu amebadili upepo wa siasa. Watanzania tumuunge mkono

    Hivi TL akishinda itakuaje kwa CCM? Watakubali matokeo kweli ?
Back
Top Bottom