Hiyo petrol station ni wezi sana, mwaka Jana niliweka mafuta ya elfu 20 gari yenye CC 1000. SIKUFIKA POSTA. EWURA KAMA KUNA MTU ANAFANYA KAZI EWURA WASHUGHULIKIWE HAO. PIA NIMESHASHUHUDIA WADAU KIBAO WAKILETA MZOZO KTK KITUO HICHO BAADA YA KUIBIWA.
UDSM wamefanya mambo makubwa sana Kwa hivi sasa ukipita pale kuna renovation inaendelea, juzijuzi tu jengo jipya LA UDBS lilifunguliwa. Lectures wengi wamepelekwa kusoma PhDs nje ya nchi. Ukizingatia pia chuo kinajitegemea kwa kiasi kikubwa. Fanya utafiti usitoe mada za kuambiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.