Recent content by ogwende

  1. O

    Wanasheria wa CHADEMA ratibu ukusanyaji ushahidi dhidi ya Sabaya maana ukatili mwingi walifanyiwa wanachama wa CHADEMA

    Brother umejibu kichama zaidi awamu ya tano,ebu amka tuko awamu ya sita
  2. O

    Uteuzi wa Biswalo Mganga kuwa Jaji wa Mahakama kuu kupingwa Mahakamani, Yadaiwa hana Maadili, zuio la kuapishwa kwake laandaliwa

    Mkuu unataka chadema i deal na maswala ya maji kwani serikali iliyoko madarakani inafanya kazi gani?barabara mbovu wabunge waliochaguliwa si wako bungeni,wanashindwaje kuwakilisha majimbo yao,unajua unachoandika brother
  3. O

    Tafsiri potofu ya agizo la Rais Samia kuhusu kodi itaigharimu Serikali

    Elements of dictatorship detected kwenye hii post
  4. O

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    John the Baptist, mbona umeanza kukiukw maadili ya chama pendwa!
  5. O

    Sasa nina hakika CHADEMA haitakufa tena kwa matakwa ya binadamu

    CHADEMA ni kama imani fulani, sio rahisi kufa
  6. O

    Mbegu hii mlipanda CCM, leo msilalamike. Tusitiane ujinga wa uzalendo na utu

    Kwa kuwa walianzisha sie tutamaliza
  7. O

    Ngurumo: Magufuli na “maparoko wake” wana kesi ya kujibu

    Nawalaumu waliotulazimisha tuongozwe na huyu baba,Mungu amsamehe hata ivyo
  8. O

    Meya Raibu: Hakuna Corona Moshi, Haya ni Mashambulizi dhidi ya Uchumi wetu

    Waandishi wa habari wamekosa watu Wa kuwahoji,diwani ana uelewa gani katika maswala ya afya?
  9. O

    Tundu Lissu atema cheche kuhusu miradi inayoendelea Chato

    Endelea na kumbukumbu japo ni contrary na mada tajwa
  10. O

    Tundu Lissu atema cheche kuhusu miradi inayoendelea Chato

    Only true patriots will understand the people's President
  11. O

    Askofu Bagonza: Kuna kitu hakiko sawa

    Kwaiyo bwashe unaendelea kusisitiza Tanzania ni makao makuu ya Mungu!watakaokuelewa ni mataga tu
  12. O

    Shareholder mkubwa wa NMB ameondoka – Rabobank Nederland

    Redemption of shares sidhani kama itakuwa na positive result hasa kwenye hii bank ambayo serikali ina hold Major shares
Back
Top Bottom