Recent content by Officialkingdom

  1. Officialkingdom

    Diamond ametengwa na Media Kuu Tatu nchini... Ila Mungu yupo..

    thamani ya chupa ni kile kilichomo ndani na sio chupa , so acha apokee shukrani tena bora anyamaze tu maaana waliotumika enzi hizo ni wengi na kumbukumbu zao hajulikane tena , NIMECHOKA KUPOTEZA TIME PII-PII HATUELEWANI
  2. Officialkingdom

    Diamond ametengwa na Media Kuu Tatu nchini... Ila Mungu yupo..

    mmmh kweli mtoto wa mama ni wa mama tu, mbona Roma kafungiwa na hakuna aliyemwonea huruma ama kubeza manenao maneno ety kaonewa, kila mtu anavuna sawa sawa na alichokipanda. SHIKAMOOOO SERIKALI
  3. Officialkingdom

    Vigezo vya kujiunga kidato cha 5 mwaka 2018/2019; Mwanafunzi mwenye umri zaidi ya miaka 20 kutodahiliwa

    mmmh msiba huu sasa me mwenyewe umri huo nilikuwa kidato cha tatu, kumbe ningechelewa kidogo ingekula kwangu,, hahahaaaaa SHIKAMOOO TANZANIA maana kwa nchi kama ya kenya sijui kama wangefanya hivyo kusingekuwa na wasomi hakika maaana kenya mtu ana miaka 18 ndo yupo la tano ama la nne AFU ULE...
  4. Officialkingdom

    Msaada: Nahitaji kufanya kazi kenya au Rwanda

    jaribu kwenda kutembelea huko kwanza lkn pia inakubidi utafute rafiki ambaye atakupa information kamili na namna ya kuomba kazi , kuhusu kuenda kenya ama uganda andaaa pasport yako tu then ukafanye utafiti
  5. Officialkingdom

    Msaada: Nahitaji kufanya kazi kenya au Rwanda

    Hongera mzeee nice dream sikukatishi tamaaa but faham changamoto kwanza za nchi unayotaka kwenda kuwa husttle, kwa nchi kama kenya mm nimewahi kuishi huko pia hata elimu ya msingi nimepiga huko miaka minne, japo baaadae nilikuja kusomea tz na elimu ya juu pia lakini baadae niliingia nchini...
  6. Officialkingdom

    Nipo mbele yenu hapa kuomba msaada wa ajira au kibarua

    mmmh ndugu pole sana jipe moyo tu ,This is just a life-threatening challenge so never give up mm mwenyewe nimesoma tena shida sana mpaka nimehitimu ,lkn huwezi amini mwaka wa 3 sasa sijafanikisha ajira mwaka jusi nilijiingiza kwenye usukumaji toroli na ubebaji mizigo mjini alimaarufu kama...
  7. Officialkingdom

    Wanawake wanaongoza kwa usaliti?

    hahahaaaaa! Makoja but hongera kwa utafiti wako, siwezi kukupinga coz huo ni uhalisia uliopo kwenye maisha ya wanadam baadhi na kwa swala la mke kujenga mazoea na mzazi mwenzake kweli kwa sisi wanaume huwa linatupain sana, ila jambo njema hapa na la busara ni kuzungumza vyema na mkeo kwa habari...
Back
Top Bottom