KWANZA kabisa nianze kwa salam.
Kuna hili wimbi la polisi wanachunguza LBL na kukamata baadhi ya wahusika. Inaweza kuwa hatua nzuri na hapa naomba niwakumbushe Kalyinda.
Mwaka 2022 ulikua mwaka wa neema sana kwa matapeli wa mifumo ya Ponzi. Kabla ya kalynda walianza SCATEC wakajipigia zao...
Kuna muda nilipita nikakuta boda na raia wengi sana hapo maeneo ya kinondoni kwa Tarimba.
Boda akawa amesema ni mgogoro wa ardhi ambao kuna tajiri anaitaka hio mali kwa nguvu.
Sina taarifa kamili wala za uhakika. Ila sasa imefika hatua silaha za moto na mawe yanatumika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.