Ni kweli yaitajika kuimarisha ulinz hasa wa kisasa utakaoweza kumbaini mtu baada ya tukio yan waweza tega securty camera kitika maeneo yote ya jiji na hasa penye msongamano wa watu na barabaran kwa ujumla.na pia adhabu kali itolewe kwa wahusika pindi wanapokamatwa na sio cku kadhaa tu then...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.