Recent content by odeyo

  1. O

    Mh. Rais wetu, tunaomba angalia Halmashauri ya Wilaya Nsimbo-Katavi

    Wana Mpanda yetu ya zamani sasa hivi Katavi tulioko nje ya mpanda na ndani ya Mpanda. Tuwe makini sana kukiwa na tetesi hizi ukweli fulani huwa upo. Jiulizeni kwa nini mihemko? Kuna cha maana kikubwa kipi? Wananchi katika maeneo yetu wanapata huduma bora na kwa wakati ukilinganisha na matumizi...
  2. O

    Mh. Rais wetu, tunaomba angalia Halmashauri ya Wilaya Nsimbo-Katavi

    Kuna haja ya kufuatilia jambo hili. Msianze kuita watu wambea msije kuwa wanufaika wakubwa... Kuna madudu mengi sana katika Halmashauri nyingi. Wakurugenzi na watu wa utumishi ni Miungu wadogo.
  3. O

    62 yrs old anataka kuongezewa muda kazini- NHIF

    Apishe na wengine, kweli yawezekana alikua muadilifu. Maana siku ya kuondoka ofisini alibeba makabrasha yake lori zima, yawezekana hata madaftari ya chuoni yalikuwa oficn for reference.
  4. O

    Afisa Misitu wilaya ya Mpanda ni Mungu Mtu

    Dc haujui mninga wala mkongo jamani, ded ndio katibu na afisa misitu ni mwajiriwa wa ded, yeye ndo anahusika moja kwa moja kumkumbusha juu ya umihimu wa kuwepo kikao hicho. Huyu anawajibika mwenyewe moja kwa moja, na ndio maana pesa za kikao hicho hupitia kwa Afisa Misitu. Na hata maombi hayo ya...
  5. O

    Afisa Misitu wilaya ya Mpanda ni Mungu Mtu

    Kwa masikitiko makubwa napenda kuufahamisha umma wa watz, tabia za Afisa huyu ambae kwa kweli anacheza na mitaji yetu wafanyabiashara wa mazao ya misitu tunaofanya biashara katika wilaya hii. Kwa makusudi kabisa hataki kuitisha kikao cha wilaya cha kujadili maombi ya leseni. Tumetuma maombi...
  6. O

    ushauri wa bure kwa Jide juu ya redio ya watu

    Aaa ifike mahali km ulinisaidia basi kuna kitu na wewe ulifaidika bwana. Ni hizo nyimbo A jide pia zilifanya clouds ikapendwa. Sio kusimangana. Kwa hiyo mlimtoa nyie ndio mlikuwanasweat on stage?. Watu pia hawapendi kukosolewa, yawezekana hata clouds nao wamemnyonya sana, alipojistukia na...
  7. O

    maralia inaniua wana jf

    Nakushauri onana na daktari ana kwa ana umpe historia ya dawa ulizotumia kipindi cha nyuma, pia jitahidi sana kutoumwa na mbu, hili linawezekana, ukifaulu hili hata dawa hutameza tena kila wakati, mi nlikuwa nasumbuliwa sana na malaria, nyumbani nliamua muda wote milango iwe imefungwa, na...
Back
Top Bottom