Recent content by October 2pm

  1. October 2pm

    Je, serikali inajali vifo vya raia waliopoteza maisha Oktoba 2025?

    Naona wameanza kunenepa Sasa. Wafikiri mambo yamepoa. Wanasema tugange yajayo....! Hehehe! mahii mahii! Ndugu zetu bado hawajapumzika kwa Amani mupaka tulipe kisasi chao. Nye Nye Nye. Miye sijui walahi. Kama wafikiri tumepotezea haya nyetenyete. Na bado
  2. October 2pm

    Ule mpango kabla ya Passover umekamilika

    Hheee! Kheri ya Mwaka mupya! Happy valentine Nye Nye nikawamiss Nye nyee. Sikieni walahi sasa mambo kidogo huyu yapoa. Presha inepungua kidogo. Sasa apata usingizi na ahueni. Alhamdullah sio kama miezi mwili nyuma. Miye nakuja kuwajuza yule Ayatollah siku zake zabaki chache Sana. Nambiwa...
  3. October 2pm

    Laha ya mercenary hakatai pesa. Wakolinto 13 mpaka 10

    Mayii! Najuzwa hapa walahi naogopa. Kumbe mercenary wajuacho ni mapene. Woyi. Na bado. Tuimbe siye mwamba mwamba mwamba mwamba yesu ndiye Mwamba. Hehehee wakolontho 13 mpaka 10 yasemaje nye. Bado ng'ombe wa nani vile. Hehehee! Jambo likamilike mapema. Na bado
  4. October 2pm

    Jeshi wee muacheni apumue ajiuzulu, kwani nani alimchagua!

    Wasema! Wamtoe aje kutusalimu jeshi liko walahi
  5. October 2pm

    Jeshi wee muacheni apumue ajiuzulu, kwani nani alimchagua!

    Ati amiri jeshi. Hehehehe. Uliona wapi Amir anaua watu wake. Heheheh. Sasa aogopa watu. Hajui nani amuamini. Hehehe walahi hii kali. Jeshi lajizima mnala naye ajua. Yeye si amir jeshi sasa itajulikana ni jeshi lipi yeye asiogope. Huyo hata akijiuzulu haisaidiii walahi. Rafiki yangu wa Siku...
  6. October 2pm

    ‘Who are you’ naona wanaume wakikutaka. Endelea kujichomeka

    Wahuni sio watu. Wajua hali haitabiriki. Wameandaa mpango wa kumtelekeza mateka wao. Tayari ajua ameingia kwenye kumi na nane za wahuni. Hajui atokeje. Walahi hii mambo hii yachekesha. Na bado
  7. October 2pm

    Mwamficha hadi lini. Siye Tuna hamu kumwona mbele ya umma

    Tumemmisi walahi. Sio ahutubie mafichoni wala. Siye twataka ajitokeze kama afanyavyo Waziri wake. Nye nye nye tutafurahia nye. Wajua twampenda. Naye ajua. Sasa yanini kumvundika mafichoni Nye. Miye nawajuza leo. Twamhusudu kweli. Tumechoka kummisi kipenzi chetu. Atokemo hadhalani ahutubie...
  8. October 2pm

    Redcross wasema watu hawataandamana tena. Watadili na mtu wao wanavyojua

    Wanyonge msiumie nyoyo zenyu. Huyu mtu hatutamuacha aingie kuzimu kwa amani. Red Cross wasema lazima alipie. Yeye ajifiche awezavyo wala hiyo haimsaidii hehehee. Yule jamaa wa Baharini. Mzee wa supu ya ngisi anapasha kiporo walahi. Mwambieni kama kufa Kila mtu atakufa asiogope mayii. Siku...
  9. October 2pm

    Twataka afanye ziara jamani mwamficha nini? Yeye aogopa nini na majeshi yote yamlinda

    Siye twampenda. Hehehe! Siye 32M twamtaka aje ziarani atuhutubie jamani. Twampenda jamani! Nye mwamfichiani? Majeshi yapo hehehe. Mwamhofia nani Nye. Hehehe. Mwafikiri tutajillipua tujitoe mhanga hehehee. Mwafurahisha siye twapata wapi mabomu siye. Au mwafikiri tutamdungua heheheee. Siye...
  10. October 2pm

    Jichimbie huko dongobeshi hutuba zako zaleta taharuki. Bila kauli yako nchi yaongozwa heheee

    Mwaona! Nchi yaenda kama dege lisilo na rubani. Heheheee! Kama mazuri na bado sijacheka. Hutuba zako hakuna wakusikiliza na walahi Kila ukijitokeza utazua taharuki. Mayii! Watu hawakupendi na wajua hilo. Siku hizi wewe ndio wataka picha na wasaidizi wako ili upate trending hehehe na zote zabuma...
Back
Top Bottom