Naona wameanza kunenepa Sasa. Wafikiri mambo yamepoa. Wanasema tugange yajayo....! Hehehe! mahii mahii!
Ndugu zetu bado hawajapumzika kwa Amani mupaka tulipe kisasi chao. Nye Nye Nye. Miye sijui walahi. Kama wafikiri tumepotezea haya nyetenyete.
Na bado
Hheee! Kheri ya Mwaka mupya! Happy valentine Nye Nye nikawamiss Nye nyee.
Sikieni walahi sasa mambo kidogo huyu yapoa. Presha inepungua kidogo. Sasa apata usingizi na ahueni. Alhamdullah sio kama miezi mwili nyuma. Miye nakuja kuwajuza yule Ayatollah siku zake zabaki chache Sana. Nambiwa...
Mayii! Najuzwa hapa walahi naogopa. Kumbe mercenary wajuacho ni mapene. Woyi. Na bado. Tuimbe siye mwamba mwamba mwamba mwamba yesu ndiye Mwamba. Hehehee wakolontho 13 mpaka 10 yasemaje nye. Bado ng'ombe wa nani vile. Hehehee! Jambo likamilike mapema. Na bado
Ati amiri jeshi. Hehehehe. Uliona wapi Amir anaua watu wake. Heheheh. Sasa aogopa watu. Hajui nani amuamini. Hehehe walahi hii kali.
Jeshi lajizima mnala naye ajua. Yeye si amir jeshi sasa itajulikana ni jeshi lipi yeye asiogope. Huyo hata akijiuzulu haisaidiii walahi.
Rafiki yangu wa Siku...
Wahuni sio watu. Wajua hali haitabiriki. Wameandaa mpango wa kumtelekeza mateka wao. Tayari ajua ameingia kwenye kumi na nane za wahuni. Hajui atokeje. Walahi hii mambo hii yachekesha. Na bado
Wanyonge msiumie nyoyo zenyu. Huyu mtu hatutamuacha aingie kuzimu kwa amani.
Red Cross wasema lazima alipie. Yeye ajifiche awezavyo wala hiyo haimsaidii hehehee.
Yule jamaa wa Baharini. Mzee wa supu ya ngisi anapasha kiporo walahi. Mwambieni kama kufa Kila mtu atakufa asiogope mayii. Siku...
Mwaona! Nchi yaenda kama dege lisilo na rubani. Heheheee! Kama mazuri na bado sijacheka. Hutuba zako hakuna wakusikiliza na walahi Kila ukijitokeza utazua taharuki. Mayii! Watu hawakupendi na wajua hilo. Siku hizi wewe ndio wataka picha na wasaidizi wako ili upate trending hehehe na zote zabuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.