Hahahaha! Hii ndio yenewe mayi! Wanaachia usuzi wanusa wenyewe.
Heheee! Na bado. Mwajua jinsi Lisu ako. Hawezi muinamia mapembelosi.
Waache wacheze Ngoma yao menyewe. Ukombozi uko pale. Na bado MTU wao Siku sio nyingi anapanda anga la mbali na akiwa na NASA. Dadeki. Soma hiyooo
Hehee! Kumekucha na Makucha yake.
Halima Mdee ndani ya nyumba. Twajua afanya makosa lakini kosa moja lafutaje jasho na damu zake peke zake.
Nitapiga nakupiga kampeni. Erythrocyte tunajua ugomvi wako na Halima Mdee haujaanza juzi wala Jana. Umekwama. Na bado
Naona wameanza kunenepa Sasa. Wafikiri mambo yamepoa. Wanasema tugange yajayo....! Hehehe! mahii mahii!
Ndugu zetu bado hawajapumzika kwa Amani mupaka tulipe kisasi chao. Nye Nye Nye. Miye sijui walahi. Kama wafikiri tumepotezea haya nyetenyete.
Na bado
Hheee! Kheri ya Mwaka mupya! Happy valentine Nye Nye nikawamiss Nye nyee.
Sikieni walahi sasa mambo kidogo huyu yapoa. Presha inepungua kidogo. Sasa apata usingizi na ahueni. Alhamdullah sio kama miezi mwili nyuma. Miye nakuja kuwajuza yule Ayatollah siku zake zabaki chache Sana. Nambiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.