Mkadhani mkiniingiza ndani ndimi ntatoa siri ya kambi? Hehehe! Mahii, mnalota sana. Kama mnaniona zumbukuku, basi mumejikosea. Mmeloba.
Sasa huyo mtu wenu munayemtafuta, huenda akawaletee jambo kubwa la kutetemesha. Sijui walahi! Mahii! Hakuna mambo ya maridhiano wala mapatano tena.
Hakuna wa...
Hehehee!
Mwafikiri iliisha. Hehehe. Siye tupo kimya mwatapatapa. Kila Siku mwamaliza mate kwenye vipaza sauti. Mayii! Mtaita maji muma hahahaha!
Yuda ni nyie mliosaliti wanaichi na kuwasulubisha kwa uroho wenyu wa madalaka. Na bado.
Mwambieni mwambieni mali yake bado yaliwa. Na bado.
Hahahaha! Hii ndio yenewe mayi! Wanaachia usuzi wanusa wenyewe.
Heheee! Na bado. Mwajua jinsi Lisu ako. Hawezi muinamia mapembelosi.
Waache wacheze Ngoma yao menyewe. Ukombozi uko pale. Na bado MTU wao Siku sio nyingi anapanda anga la mbali na akiwa na NASA. Dadeki. Soma hiyooo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.