Recent content by October 2pm

  1. October 2pm

    JamiiForums Tanzania Mpango wenu kumtoa Mafwere kafara na wenzake wanne hatuukubali

    Hehehe! Mwafikiri siye hatujui. Memtuma nyie. Mafweye ni askari mwadilifu. Twamjua tangu enzi na enzi. Leo mwataka kumwagushia jumba bovu. Hapana walahi. Hatutakubali. Mwaanza poyepoye mwafikiri hatujui mnachofanya. Mafwere na wenzako wanne mnajijua. Kaeni radar. Ama kweli shetani Hana kiapo...
  2. October 2pm

    JamiiForums Tanzania John Heche amjibu Gerson Msigwa: Msemaji wa Serikali au Serikali inawezaje kuita watu Nguchiro

    Hehehe! Hawajakosea kutuita nguchiro. Wanajua Nguchiro shughuli yake ni kuangamiza nyoka wote. Hehehe! Kazi ipogo
  3. October 2pm

    JamiiForums Tanzania Vijana Chadema Lissu hajajisalimisha na hatajisalimisha

    Hahahaha! Hii ndio yenewe mayi! Wanaachia usuzi wanusa wenyewe. Heheee! Na bado. Mwajua jinsi Lisu ako. Hawezi muinamia mapembelosi. Waache wacheze Ngoma yao menyewe. Ukombozi uko pale. Na bado MTU wao Siku sio nyingi anapanda anga la mbali na akiwa na NASA. Dadeki. Soma hiyooo
  4. October 2pm

    JamiiForums Tanzania Nikiwa kama MwanaCHADEMA Kanda ya Pwani. Nitapiga kampeni Halima Mdee arejeshwe. Tuanze na Kura humu mtandaoni

    Siye twataka aludi. Cheo si tatizo walahi
  5. October 2pm

    JamiiForums Tanzania Nikiwa kama MwanaCHADEMA Kanda ya Pwani. Nitapiga kampeni Halima Mdee arejeshwe. Tuanze na Kura humu mtandaoni

    Hehee! Kumekucha na Makucha yake. Halima Mdee ndani ya nyumba. Twajua afanya makosa lakini kosa moja lafutaje jasho na damu zake peke zake. Nitapiga nakupiga kampeni. Erythrocyte tunajua ugomvi wako na Halima Mdee haujaanza juzi wala Jana. Umekwama. Na bado
  6. October 2pm

    JamiiForums Tanzania Inachezwa chini ya maji mno

    Na bado
  7. October 2pm

    JamiiForums Tanzania Je, serikali inajali vifo vya raia waliopoteza maisha Oktoba 2025?

    Naona wameanza kunenepa Sasa. Wafikiri mambo yamepoa. Wanasema tugange yajayo....! Hehehe! mahii mahii! Ndugu zetu bado hawajapumzika kwa Amani mupaka tulipe kisasi chao. Nye Nye Nye. Miye sijui walahi. Kama wafikiri tumepotezea haya nyetenyete. Na bado
  8. October 2pm

    JamiiForums Tanzania Ule mpango kabla ya Passover umekamilika

    Hheee! Kheri ya Mwaka mupya! Happy valentine Nye Nye nikawamiss Nye nyee. Sikieni walahi sasa mambo kidogo huyu yapoa. Presha inepungua kidogo. Sasa apata usingizi na ahueni. Alhamdullah sio kama miezi mwili nyuma. Miye nakuja kuwajuza yule Ayatollah siku zake zabaki chache Sana. Nambiwa...
Back
Top Bottom