Maybe! Mayi Mayoooo!
Mashujaa wetu kifyetufyetu. Waenziwe mayii! Wamemtoa sio! Wamefikilia wametuweka pembeni! Heheheee! Haluuu.. kama wajua wao walimaliza siye ndo kwanza mchezo haukuanzaga. Damu zao hazitaenda bulebule. Walahi gudubayii! Maazimisho ni 29. Na bado.
Mwakumbuka akiwa anahojiwa alivyojibu kwa dhereu na kiburi.
Mwenyewe anacho kilifikiri kinanguvu. Hehehee! Walahi tutaona mengi.
Wewe mzee miyeyusho sana. Humwoni Emma the boy alivyowekewa pilipili Manga na binzari. Wajipa moyo. Kama huo mfumo unao endelea! Miye niko palepale tuliporushiana...
Mkadhani mkiniingiza ndani ndimi ntatoa siri ya kambi? Hehehe! Mahii, mnalota sana. Kama mnaniona zumbukuku, basi mumejikosea. Mmeloba.
Sasa huyo mtu wenu munayemtafuta, huenda akawaletee jambo kubwa la kutetemesha. Sijui walahi! Mahii! Hakuna mambo ya maridhiano wala mapatano tena.
Hakuna wa...
Hehehee!
Mwafikiri iliisha. Hehehe. Siye tupo kimya mwatapatapa. Kila Siku mwamaliza mate kwenye vipaza sauti. Mayii! Mtaita maji muma hahahaha!
Yuda ni nyie mliosaliti wanaichi na kuwasulubisha kwa uroho wenyu wa madalaka. Na bado.
Mwambieni mwambieni mali yake bado yaliwa. Na bado.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.