Habari za wakati huu...
Kiwanja kinauzwa Goba Kulangwa...
Kiwanja kipo upande wa kulia kutokea Madale mwisho....
Kilomita mbili mpaka madale mwisho...
Kilomita mbili mpaka Goba njia nne....
Kiwanja kipo ndani ya mita 200 kutokea barabara kuu la Lami ya Madale....
Kiwanja kipo eneo zuri sana la...
Hii ni biashara huria kaka
Hatukuwahi kumlazimisha mtu kununua tunachouza ila tunawaomba tuu mnunue...
Vipo viwanja mpaka vya laki moja kwa size hiyo hiyo...
Ni wewe tuu na uchaguzi wako kiongozi...
Kiongozi hii ni biashara huria..
Kuna viwanja mpaka vya laki moja...
Na kuna viwanja mpaka vya milioni 500 kwa size hiyo hiyoo...
Kwahivyo ni wewe mwenyewe uchaguzi wako...
Kwahiyo tuache ujuaji tuu kiongozi kwenye biashara ya mtu...
Biashara au kazi ni maisha ndugu yangu..
Usiweke maoni mabaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.