Recent content by Ocho Cinco

  1. O

    JamiiForums Tanzania Wangapi wanakubaliana na hili?

    Binafsi siafikiani na hilo. Lakini pia wenza wa aina hiyo nawaheshimu sana. Maana wako wa kweli kwa wao wenyewe pamoja na dhamiri na nafsi zao. Hawana unafiki!! Kuna maana gani kuwa kwenye uhusiano na mtu halafu unatoka nje kimapenzi kwa kujificha halafu unarudi nyumbani na kujifanya...
  2. O

    JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu ya Tanzania kuzuia malipo kwa DOWANS?

    Umakini ni pamoja na kuwa na kanuni mwongozo unazozisimamia bila kutetereka. Sasa hao unaowaita makini ila wanafumbwa midomo na rushwa hawana lolote. A shyster lawyer can never be a good lawyer. End of story!
  3. O

    JamiiForums Tanzania Michango ya wadada wa JF iko biased!!

    You may not see the reason but those who do it see it.
  4. O

    JamiiForums Tanzania Michango ya wadada wa JF iko biased!!

    I never thought you could be this naïve...
  5. O

    JamiiForums Tanzania Michango ya wadada wa JF iko biased!!

    Una uhakika kabisa kuwa ni wanawake?
  6. O

    JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu ya Tanzania kuzuia malipo kwa DOWANS?

    Tanzania hakuna wanasheria makini. Au niseme Tanzania hatuna umakini wa jambo lolote lile. Kama tuna umakini kwenye lolote basi naomba nifahamishwe hilo jambo. Hawa wanasheria wa Tanzania ukiwasikia wafunguapo vinywa vyao yaani ni pumba tupu!
  7. O

    JamiiForums Tanzania Whats your Best Song About Love, If you had to choose one...

    Rangi ya chungwa...
  8. O

    JamiiForums Tanzania Robert Nesta Marley - later years of his life

    Marley is da man
Back
Top Bottom