Kaka yangu nipe maneno mazuri ya Msingi yatayosababisha nione ubora na umuhimu Wa Chadema tukiacha utani heartly speaking sijaona msimamo imara Wa cdm maake hawana msimamo kabisa na hawaeleweki kelele nyingi,tribalism kwa sana etc. Ccm tangy nazaliwa 1980 mpaka leo nimeona wamefanya nini wana...
Usitake nicheke Alex maake nikikumbuka wakati Wa Uchaguzi nusura nikose ndoa nikajuta kuolewa na majamaa ya Kaskazini mbavu zangu mie pia baba Manka alinitunza kiporo
Wewe mtoa mada AWALI NI AWALI HAKUNA AWALI MBOVU.
CCM itawaumiza sana vichwa nyie CHDM au UKIWA hata mngepata uzoefu gani hata sisi tunajipanga hatukai kimya CCM mnavyojipanga nasi wanawake tuliowazaa tunajipanga kwa mbinu tunazozijua na ndio maana dk.75 mliucheza mpira vizuri wakati Wa...
Mali asili apewe Ateuliwe Kaghasheki apewe akawashughulikie TANAPA walioanza kuua mkuu Wa Idara ya Ulinzi na Usalama TANAPA kwani Idara hiyo inamfaa na amewahi kupanusa
Wewe Mwiba namba mnaisoma nyie Ma UKIWA ambao mmebaki kujuta kwanini hmkumchagua JPM mling'ang'ana na Kilaza wenu bidhaa isiyouzika Kachungeni Ng'ombe huko na mtulie Rais aliwaambia yeye ni wetu wote na aliahidi kusafisha ndani na nje haijalishi ni CCM au Ukawa na ndio maana Mafisadi kama Kilaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.