Recent content by obote maina

  1. O

    William Malecela na Abdala Bulembo na Mkuu wa Wilaya wapandisha bendera ya CHADEMA Mlandizi

    harakati Zinasambaa kwenye ngome ya ccm,safi sana kibaha hakuna kulala kimbiza mwizi mpaka baharini.j2 dsm najua pia moto ukakuwa sio wa kitoto,wana wadar uonyesheni na nyie mnausubiri okombozi kwa hamu.m4c juu zaidi.
  2. O

    Kamati za Lowassa na Zitto zavunjwa

    tunakoelekea sasa ni kubaya zaidi,kamati hii iliyofutwa mbona hatujasikia kuwa na dosari yoyote,kuna kamati zina madudu kibao kama ile ya mrema,nishati na madini, elimu,uchumi na fedha hizi kamati zinamapungufu makubwa tu,lkn spika yuko kimya.sisi wananchi tuwaelewe vipi hawa watu jamani.ni wana...
  3. O

    SIMULIZI: Nilipanga Nyumba Moja na Majini

    me naona kama riwaya flani hivi,sema imesha2ingia ni bora a2malizie kwani story ni tamu.kwa sisi 2liozowea kusoma riwaya hapa ame2kuna sanag
  4. O

    Magufuli ampiku Lowasa urais 2015

    kwakifupi ccm kila m2 ananuka rushwa hadi wajumbe wa nyumba kumi.hakuna na wala sijaona m2 msafi alafu akawa bado yupo ccm huyu atakuwa mnafiki 2.
  5. O

    Picha na Maelezo: Mkutano wa CHADEMA Mjini Moshi - Jan 14, 2013

    nani aingie msituni kwa watu wepesi kama nyie.sisi 2kiamua hata kesho asubuhi asubuhi 2nachukua nchi kiulaini 2.sema 2naheshima utawala wa sheria na kuwaheshimu watz 2naotaka kuwakomboa toka mikononi mwa bepari mweusi.
  6. O

    Kumbukumbu: Mwaka mmoja wa kifo cha Regia Mtema

    mungu amlaze mahali pema peponi.Amen
  7. O

    CCM kitakufa mwaka 2015 na hakitarudi tena

    hawa wameshakufa,2nasubiri mazishi yao 2014-2015.
  8. O

    Mtwara: Mbatia ashushwa jukwaani, ni kutokana na kauli yake juu ya suala la gesi

    mtwara wameonyesha hisia zao,cha msingi wahusika ujumbe umewafikia, nini cha kufanya mnajua, kama mnataka ushauri 2po tayari,msiweke itikadi hapa swala hili inabidi 2kae pamoja 2jadiliane ili mbivu na mbichi zijulikane.
  9. O

    Msajili wa vyama (John Tendwa) amaliza mkataba wake, aendelea kukalia ofisi!

    hayo ni mambo binafsi,cha msingi huyu mzee na waliomteuwa wafate taratibu na sheria za mamlaka ya nchi,wa2 wameifanya hii nchi kama shamba la bibi.
Back
Top Bottom