Habari wana Jamii forum,
Napenda kuchukua fursa hii kutafuta mtu ambaye ana uzoefu wa kutosha kwenye Networking hasa ambaye ameshafanya kazi au project ya ISP kwa hapa Tanzania, kuna mradi nataka kuuanzisha so kama kuna yeyote ambae ni mbobezi kwenye ISP business aje tuongee biashara.
PM me...
Mimi nilikua na tatizo kama lako kwenye chaser avante maarufu kama gx 100 ya chaser, tatizo hilo linachangiwa na vitu kadhaa ikiwepo condensor, compressor au fan/ fan guard!
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah yaani CRDB ni bureee kabisa aisee ni wa kuachana nao tuu, Mimi nlitoa hela kutoka kwenye M pesa katika ATM ya CRDB pesa hazikutoka kwenye mashine huku mpesa wakituma sms kuwa hela imeenda CRDB, sasa kuwasiliana nao wakajibu ndani ya saa 72 pesa itarudi ila sasa ni mwezi na hela hazijarudi...
Kuna taarifa zipo kwenye mtandao wa kupatana watu wanasema wanaweka channel za dstv kwenye ving'amuzi vya hapa Kwetu mfano Azam, star times nk,
Je, kuna ukweli kuhusu ilo? Maana inaonyesha jamaa wanataka walipwe kwanza
Habari za kazi wakuu, natafuta mtu wa kudesign website coz nmefanya design kwenye wix but nmeshindwa kuhost kwa hapa bongo... yaani
Anayeweza kufanya hiyo kazi anicheki 0714 044 048
habar za leo wakuu, nmekuja na tatizo langu moja nataka mtu wa kuactivate abu dhabi hd decoder yangu ilikua na one year subscriptions sasa imeisha
yeyote anayeweza tuwasiliane 0714 044 048 obbie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.