Sawa, unge POST kwenya INBOX zao mkajadili. Sio sehemu sahihi ku post public ilihali unajipambanua uko na watu wachache mnaoweza kujadili nao.
Ni hayo tu 🙏🏾.
Comment mbovu zisikuvuruge kabisa, wa Tanzania unatujua tupo nyuma sana. Uwa tunaona mabaya kwenye kila kitu. Nilitegemea nitakutana na maswali positive, km kuomba kujifunza kwa kumuona mshkaji kabisa. Ikiwezekana hata kumuunga mkono na ameweka wazi kabisa warrant anatoa ya mwaka. Km una...
Haikuwa rahisi kuanza comment ya kwanza mmpaka hapa, poleni sana wahanga.
"UKIITWA KWENYE FURSA, JUA WW NDIO FURSA"
Tujifunze ku judge vitu vingine na kupekua pekua jamani. Watu wachache wanaweza kuifanya Forex ikaonekana chungu sana maishani mwa watu. Ila pia ni jukumu letu sisi kujinasua...
Mkuu nmefuata kila ulchoelekeza kwenye airdrop ila nadhan nahtaji maelekezo mengine ya msing zaidi. Nshaingia mpka kwenye group zao za telegram, nakwama sasa jinsi ya kuendelea baada ya kukamilsha hlo au ndio nacheza na link waliyonipatia tu huo kwa ajil ya kupata coins?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.