Wenyeji wangu wamakonde mlioko manispal katika mikoa mbalimbali sasa tandahimba kuchele mmewekewa bank maji yanamwagika hadi basi hospitali za kutosha mashuleni walimu wamepewa lap top na shule zimefungiwa wire less internet nasikia wanataka lami hadi mitaani nasikia mnataka kufungiwa taa za...
kama unaweza kunisaidia nisaidie kashfa na majungu hayajengi tatizo langu huwa namwaga sperm zikiwa zimeshikamana yaani ni kama mafuta ya mgando ndani ya majimaji au mda mwingine bila majimaji alafu ukizigusa zinavutika kama ulimbo mkavu mzito
je hili ni tatizo gani?
niko Tandahimba mtwara natafuta mtu wa kubadilishana nae kutoka wilaya ya kisarawe mkoa wa pwani au sehemu yeyote dar es salaam,!! idara elimu ya msingi mawasiliano 0714252574
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.