Recent content by o2s

  1. O

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    anaetaka kuja tandahimba mtwara kutoka mkoa wowote please ni pm
  2. O

    Mwanaume anapodanganywa na msichana

    duhhhh xo alikuchungulia?
  3. O

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Wenyeji wangu wamakonde mlioko manispal katika mikoa mbalimbali sasa tandahimba kuchele mmewekewa bank maji yanamwagika hadi basi hospitali za kutosha mashuleni walimu wamepewa lap top na shule zimefungiwa wire less internet nasikia wanataka lami hadi mitaani nasikia mnataka kufungiwa taa za...
  4. O

    Utumiaji wa GNLD na Forever Living products ni hatari?

    Jamani wakuu samahani naomba msaada kuhusiana na hizi bidhaa za forever living zina ubora gani na madhara gani?
  5. O

    God vs satan

    am for God
  6. O

    Sigara na Mchagga

    mchaga anatokea moshi sigara inatoa moshi
  7. O

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    kwenda wapi wakati wameandikiwa motoni!
  8. O

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    ndani nikakuta panya buku
  9. O

    sperm kutoka zikikiwa zimegandana

    hospital gan inaweza kuwa best zaid
  10. O

    sperm kutoka zikikiwa zimegandana

    kama unaweza kunisaidia nisaidie kashfa na majungu hayajengi tatizo langu huwa namwaga sperm zikiwa zimeshikamana yaani ni kama mafuta ya mgando ndani ya majimaji au mda mwingine bila majimaji alafu ukizigusa zinavutika kama ulimbo mkavu mzito je hili ni tatizo gani?
  11. O

    Msaada Doctors kuhusu Sperms Analysis

    dah pole je ukitoa sperm zako huwa katika hali gan nyepesi au nzito?
  12. O

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    we acha tu wamakonde hawataki kurudi kwao
  13. O

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    wamakonde mbona mnang'ang'ania mikoa ya watu rudini kwenu mbona pazuri tuu
  14. O

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    niko Tandahimba mtwara natafuta mtu wa kubadilishana nae kutoka wilaya ya kisarawe mkoa wa pwani au sehemu yeyote dar es salaam,!! idara elimu ya msingi mawasiliano 0714252574
Back
Top Bottom