Dawa ya malaria nzuri sana ambayo inatumiwa kama prophylaxis kwa akina Mama wajawazito dhidi ya Malaria yaani INTERMITTENT PREVENTIVE THERAPHY OF MALARIA TO PREGNANTS WOMAN.....
Tatizo lenu mnapenda kununua madawa huku mitaani kabla ya kuwaona madaktari, na tabia hii inawaathiri watu wengi...
Ndio iko sawa kabisa...... KUNA KITU KINAITWA "UPT" yaani URINE FOR PREGNANCY TEST hapo unatumika mkojo na maji lakini yale ni maji maalumu... Huwa kuna hormones maalumu inayoitwa HUMAN CHORIONIC GONADOTROPHIN inaangaliwa ambayo Uwepo wake kwenye mkojo ni kiashiria cha mimba.... NB, kupima...
Habari ya jioni wapendwa......
Ni matumaini yangu Hamjambo humu ndani, Mimi ninaitwa Nzory Mussa kutoka Tanga Tanzania...
Nimeingia hapa kwa lengo la kutafuta MARAFIKI ambao tutakuwa tukishauriana mambo mbalimbali ya kimaisha na kusaidiana katika changamoto mbalimbali
Nina miaka 23
Niko...
MOLA WASAIDIE WAKINA MÂMÄ WOTE DUNIANI.... WALIO TANGULIA MBELE YA HAKI, MOLA AWAPE MAKAZI MEMA HUKO WALIPO....
TUWAPENDE MÂMÄ ZETU [emoji8][emoji8][emoji8]
[emoji264][emoji261]Mwanadamu ulizaliwa katika hisia za kulia ukiwa kichanga mwenye uchafu Asili ya upendo ipo kwa mama ulipofumbua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.