Recent content by nzom

  1. N

    JamiiForums Tanzania Mbowe aondolewe kwa nguvu kama mwenyekiti wa CHADEMA. Amezoea kufanya biashara za kisiasa, hafai

    Duu chupa imeamka na chai
  2. N

    JamiiForums Tanzania Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

    Mbona WA TEC umetolewa humu
  3. N

    JamiiForums Tanzania Vita yetu dhidi ya ushoga ni dhaifu sana

    *Tulipanda Usiku, tunavuna Mchana.*ila MATUNDA HAYAFANANI na MBEGU ZETU tulizootesha USIKU. Ushoga, ulawiti, usagaji Tulipoamua sote kuwa wafanyakazi, wajasiriamali na watumishi (wanaume kwa wanawake) hatukutafakari vyema. Tulipoamua kuingia mtaani na kujipotosha juu ya haki sawa bila kujua...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Matunda yanatofautiana na mbegu zilizopandwa usiku zikavunwa mchana

    *Tulipanda Usiku, tunavuna Mchana.*ila MATUNDA HAYAFANANI na MBEGU ZETU tulizootesha USIKU. Ushoga, ulawiti, usagaji Tulipoamua sote kuwa wafanyakazi, wajasiriamali na watumishi (wanaume kwa wanawake) hatukutafakari vyema. Tulipoamua kuingia mtaani na kujipotosha juu ya haki sawa bila kujua...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Ridhiwani Kikwete ni de facto Waziri wa Ardhi? Angelina Mabula de jure? Ridhiwani ajiangalie, maafisa ardhi wanatumia jina lake kumchafua

    Sio kweli na huenda wameamua Kwa utashi wao kumchafua na kulitumia jina lake hivyo. By the way mtu au kikundi Cha mtu anaporwa aridhi Kwa kutumia jina lake Kisha nae akae kimya Kuna two factors huenda Kuna kundi la watu lataka kumchonganisha na waziri mabula na sababu wanazo. Ridhiwani ni smart...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Kumi Bora ya Wabunge walioshindwa kukidhi matarajio ya wananchi

    Ametoa single nguvu na uharibifu WA uchafuzi katija uchaguzi ndio umezaa uhovyoo huu zao la jpm Hilo kuibakua demkrasia kawamaliza hata wale nafuu walokuwepo akina sendeka na Bashe wamekua kama sijui hata niweke neno Gani
  7. N

    JamiiForums Tanzania GE2020 Orodha ya wagombea wa ubunge wa CHADEMA Tanzania Bara Oktoba 2020

    Hapo sawa sababu kuna majimbo hayapo na mkutano ulisema kila jimbo au ndio hayo ya kuwaachia act ila kibamba si yuko mnyika Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
  8. N

    JamiiForums Tanzania Kabla ya kutafuta nyumba na ofisi za wapigania uhuru waliopata hifadhi tanganyika kwanza tuijue histori yetu wenyewe

    Kwàni lazima mkubali leteni yaliyo nje na sheikh Mohammed said na ndio mseme sio maneno msiongozwe na chuki hasha
  9. N

    JamiiForums Tanzania Siasa za" Mohamed Said" ni za kusimuliwa na upotoshaji

    Sina maneno ya kuwapa iliwahi kutolewa hoja ya MTU mwenye nia dhabiti na wa kuweza kuandika historia ya kweli ya Tanganyika hata mwalimu aliwahi ambiwa ajibu mbona ilikua ngumu leteni unayopinga historia aloandika ndio tutajua
  10. N

    JamiiForums Tanzania Ref to fallacy few writers. Over my back

    Drop over Sent using Jamii Forums mobile app
  11. N

    JamiiForums Tanzania Je, agizo la Waziri Lugola kwa NIDA limetekelezwa leo?

    Ni leo
  12. N

    JamiiForums Tanzania Kangi Alphaxard Lugola: A new Sheriff in Town

    Kuhusu tarehe tatu leo imekuaje kuhusu NIDA Leo tarehe 3 via Gotham Na mwenzake
  13. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nini kitatokea baada ya kesho Kenya:Odinga asisitiza kuapishwa kuko pale pale

    Katika jicho pevu naona historia yataka kubadilia katika historia ya siasa ukanda wa Africa mashariki,baada ya kiongozi na NASA mh Raila Amol Odinga kusisitiza kua ataapishwa kama raisi wa Taifa LA Kenya ukiisoma katiba ya Kenya haina kipengele hicho moja ya masharti lazima awe ameshinda kwa...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Nani atanisaidia kutoka kukua kwa fedha nchini via ripoti ya Mh Mpango .

    Ile sheria ya takwimu mie naipenda saana kwani ndiyo yenye mamlaka ya kutoa mwongozo na data zote ILS ????? Sasa nimemsikia waziri wa fedha na mipango ya nchi yetu Jana ila nimefikilia wapi sina jibu wallah, Zile USD ni nyingi saana na kwa sababu hiyo nikaanza kujiuliza kodi ya Mbwana samatta na...
  15. N

    JamiiForums Tanzania Dr. Salim ang'atuka, Rais Magufuli ampongeza kwa kuwa na nidhamu iliyotukuka

    Hata Kinana ndio hivyo baada ya mkutano huu ataondolewa kama SG Wa chama soon alokua kampeni meneja na mwenyekiti jumuiya ya wazazi Alhaji Bulembo Katibu mkuu Wa chama
Back
Top Bottom