GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Wanabodi, Kuna msemo unasema" knowing your risk exposure is better than living with good expectation "
Hii kauli hutafsiriwa sio rasimi kama ni bora ukafahamu Madhara unayoweza yapata kuliko ukapuuza na kuamua kuishi kwa matumaini au kutegemea mambo mazuri
Mohamed Said amekuwa akiishi hii kauli humu jamii forum lakini akiitekeleza kinyume chake kwenye maandishi yake
Habari zake zote ni hearsay au habari za kusikia na kusimuliwa, Hivi kila mtu akiamua kusimulia habari za Babu yake jinsi alivyoshiriki vita ya kwanza ya dunia nadhani vitabu havitatosha, Miaka ya 1990 na mwanzoni ya miaka ya 2000 kila Mzee alisimulia alishiriki vita ya kwanza ya dunia, Mzee yupi mkweli?
Habari zake zote ni brainwashed au habari za mtu aliyejazwa fikra mfu, Fikra ambayo hawezi kutoka nje ya uelewa binafsi, Yale aliyeyojazwa kuwa waislam wanaonewa yeye ndie ameyabeba bila kuchuja kuonyesha waislam wanaonewa bali walifanya kazi kubwa ya uhuru, Hivi kama uislamu ulihubiri ukombozi kuna watu makatili dunia hii kama waarabu, Leo hii uarabuni Saudi, Omani ni maeneo ya manyanyaso na mateso kwa watu weusi
Habari zake nyingi ni outdated au zilizopita na wakati na kukosa ushawishi kwa kundi la vijana, Amejitahidi kubadilisha Mada ya Professor kabudi kumshauri Makonda atafute na kupambanua maeneo ambayo wapigania uhuru waliishia au pata mafunzo hapa nchini, Yeye amekuja na story za Abdul sykes alizosimuliwa
Ushauri:
Hakuna utafiti unaofanywa kwa hearsay au kusimuliwa kama wa Mohamed Said, Utafiti ni hatua, Sio kila simulizi ya kwenye vituo vya kahawa au msikitini lazima ulazimishe watu kuviamini, Jiulize kwanini watu wanaweza kutetea habari za Mkwawa wa wahehe lakini sio story zako za kwenye vitabu vya Abdul Sykes
Kuendekeza udini karne hii ya ishirini na moja umekwisha chelewa sana, Hii kazi ilikupasa kuifanya wakati nchi ikiitwa Tanganyika, Unaowahubiria humu wengi wamezaliwa ndani ya uhuru tukiitwa Tanzania, Mohamed Said bado anaishi karne ya ishirini, Amegeuka mmisionari akitengeneza Propaganda za miaka ile Wamisionari wanagawa nguo huku wakibeba madini na dhahabu
Hii kauli hutafsiriwa sio rasimi kama ni bora ukafahamu Madhara unayoweza yapata kuliko ukapuuza na kuamua kuishi kwa matumaini au kutegemea mambo mazuri
Mohamed Said amekuwa akiishi hii kauli humu jamii forum lakini akiitekeleza kinyume chake kwenye maandishi yake
Habari zake zote ni hearsay au habari za kusikia na kusimuliwa, Hivi kila mtu akiamua kusimulia habari za Babu yake jinsi alivyoshiriki vita ya kwanza ya dunia nadhani vitabu havitatosha, Miaka ya 1990 na mwanzoni ya miaka ya 2000 kila Mzee alisimulia alishiriki vita ya kwanza ya dunia, Mzee yupi mkweli?
Habari zake zote ni brainwashed au habari za mtu aliyejazwa fikra mfu, Fikra ambayo hawezi kutoka nje ya uelewa binafsi, Yale aliyeyojazwa kuwa waislam wanaonewa yeye ndie ameyabeba bila kuchuja kuonyesha waislam wanaonewa bali walifanya kazi kubwa ya uhuru, Hivi kama uislamu ulihubiri ukombozi kuna watu makatili dunia hii kama waarabu, Leo hii uarabuni Saudi, Omani ni maeneo ya manyanyaso na mateso kwa watu weusi
Habari zake nyingi ni outdated au zilizopita na wakati na kukosa ushawishi kwa kundi la vijana, Amejitahidi kubadilisha Mada ya Professor kabudi kumshauri Makonda atafute na kupambanua maeneo ambayo wapigania uhuru waliishia au pata mafunzo hapa nchini, Yeye amekuja na story za Abdul sykes alizosimuliwa
Ushauri:
Hakuna utafiti unaofanywa kwa hearsay au kusimuliwa kama wa Mohamed Said, Utafiti ni hatua, Sio kila simulizi ya kwenye vituo vya kahawa au msikitini lazima ulazimishe watu kuviamini, Jiulize kwanini watu wanaweza kutetea habari za Mkwawa wa wahehe lakini sio story zako za kwenye vitabu vya Abdul Sykes
Kuendekeza udini karne hii ya ishirini na moja umekwisha chelewa sana, Hii kazi ilikupasa kuifanya wakati nchi ikiitwa Tanganyika, Unaowahubiria humu wengi wamezaliwa ndani ya uhuru tukiitwa Tanzania, Mohamed Said bado anaishi karne ya ishirini, Amegeuka mmisionari akitengeneza Propaganda za miaka ile Wamisionari wanagawa nguo huku wakibeba madini na dhahabu