Recent content by Nziiri

  1. N

    JamiiForums Tanzania Corona: Bila Makavu itaondoka na Wengi

    Il 'dawa' ya Madagascar Mwendazake alimtuma jamaa wa jalalani akailete ilikuwa dawa kweli? Ulitaka WHO waache sayansi waingie kwenye syrup za kichawi!
  2. N

    JamiiForums Tanzania Executive Agencies Act No 30 inaelekeza Mtendaji Mkuu wa Tanroads kuteuliwa na Waziri wa Ujenzi na sio Rais

    Rais akisema Tanzana hakuna corona, yuko sahihi. Huyu rais akifa leo, kesho akaapishwa mwingine halafu akadema Tanzania kuna carona, yuko sahihi. Akili hizi ni kiwango cha ccm tu. Taasisi tofauti tofauti zimeundwa kwa sheria tofauti. Utakuta taasisi hii mtendaji mkuu wake anateuliwa na waziri...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Ni aibu kuandaa sherehe za kupokea ndege

    Ya kuzungusha maiti ilifana sio?
  4. N

    JamiiForums Tanzania Nini kifanyike Jeshi la Polisi lianze kutenda haki?

    Uharo kama uharo mwingine.
  5. N

    JamiiForums Tanzania Ni wazi Hakimu Michael Mteite na Thomas Simba walitoa hukumu zenye utata dhidi ya Sugu na akina Mbowe

    Wana uhuru kumkataa, ila hakuna haja ya kufanya hivo ktk hatua hii kwavile mahakama ya simba haina uwezo wa kusikiliza shauri hili. Pale shauri limepita tuu kiutaratibu, hatimaye litapelekwa mahakama kuu.
  6. N

    JamiiForums Tanzania Watanzania tuwe makini na vyombo vya habari vya Kibeberu. CNN wazusha kukamatwa kwa Freeman Mbowe ni amri ya Rais Samia!

    Ukitaka uteuliwe kaa kimya acha kuwatetea. Ukiwatetea wao watakuona hapo ndio mahali unapotakiwa kubakia ndio maana mpaka leo bado uko pale pale
  7. N

    JamiiForums Tanzania Kibanda cha kupigia nyungu Muhimbili bado kipo?

    Wapi? chattle Tanzania ambayo hatoi takwimu wamekufa wangapi?
  8. N

    JamiiForums Tanzania Kibanda cha kupigia nyungu Muhimbili bado kipo?

    Wapi? chattle?
  9. N

    JamiiForums Tanzania Nipo Zambia, kila Mzambia ananiulizia habari za Rais Magufuli

    kwa hiyo unapinga asiwaambie alishakufa?
  10. N

    JamiiForums Tanzania Nipo Zambia, kila Mzambia ananiulizia habari za Rais Magufuli

    Waambie alikufa, alishaoza, alishasahauliwa na sasa tunarekebisha uchumi, tunarudisha mahusiano kimataifa, umoja wa taifa na tunapambana na covid-19 kisayansi kulingana na protocol zaWHO.
  11. N

    JamiiForums Tanzania Polisi wafika nyumbani kwa Mbowe kwa upekuzi

    Kama umejitolea hivyo, wewe c mjinga. Ni mpumbavu
  12. N

    JamiiForums Tanzania Polisi wafika nyumbani kwa Mbowe kwa upekuzi

    Hii pumba hata nguruwe hawaitaki!
  13. N

    JamiiForums Tanzania Kama mdau wa maendeleo naiomba Serikali iweke akaunti maalum, tuichangie

    Huwa hulipi kodi yo yoye?
  14. N

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, umerithi wasaidizi hivyo umerithi miiba pia

    Hivi ilikuaje makamu akaenda ziarani Tanga wakati rais akiwa mahututi?
  15. N

    JamiiForums Tanzania Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    Unafikiri yuko kwa Mungu! Kwa nini usifikiri yuko jehanamu? Kumbuka: NJIA ILE IENDAYO MBINGUNI NI NYEMBAMBA. Litafakari sana hilo.
Back
Top Bottom