Mh Jacob.
Sisi wakazi wa kinondon tunahitaji sana ule Mradi wa takataka maana tumechoka na kuona tunayoyaona huku mtaani, Wazo langu binafsi atuitishe Harambee tuchangie ile VAT aache Ugomvi na serekali, sisi wananchi tutailipia, tushalipa kodi ngapi tushindwe hii? UMOJA NI NGUVU.
Hakuna jambo...
Week ya pili hii tangazo liko hivyo hivyo alafu Deadline tar31/08 ngoja vilaza tuendelee kusubiri tu. haya jaribu kupiga hizo namba kwa msaada sasa ukipata yoyote niambie nikutumie vocha
mimi nina swazi hili, Jamaa ameoa mke wake wakapata mtoto mmoja mwanamke akaanza tabia za kihuni, kafumaniwa mara tatu jamaa akaomba talaka yake, huyu mwanamke anapewaje haki ya kubaki na mtoto wa miak miwili wakati yeye ni mzinifu atamfundisha maadili gani? hembu nisaidie hapo, mf: kesi ya...
Umetumwa wewe, we mwenyewe umepewa rushwa kuandika hili kama sio kuahidiwa kiongoz wa kijiji. Dhamira yako ikusute, tena ufe kabla ya uchaguz kwa kusema uongo na uchonganishi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.