Recent content by Nzi ni nyuki mjinga

  1. Nzi ni nyuki mjinga

    Kwanini TRA wasitengeneze Software au Application itakayofanya kazi ya EFD Machines?

    Changamoto za ofisi yoyote na si za serikali tu ni jambo la kiofisi, linatatuliwa na wenye dhamana ya ofisi na si jumuiya. Wananchi ni haki yetu kutoa malalamiko ya changamoto tunazopitia ili wahusika wapate taarifa na waangalie uwezekano wa kutatua lakini si sawa kwa ofisi kuweka kwenye jamii...
  2. Nzi ni nyuki mjinga

    Kwanini TRA wasitengeneze Software au Application itakayofanya kazi ya EFD Machines?

    Hata kama maadili yangekuwa yanaruhusu kuweka mambo ya ndani ya kiserikali kwenye mitandao ya kijamii halafu na mm nikawa kwenye nafasi ya kuyaweka nisingefanya hivyo.
  3. Nzi ni nyuki mjinga

    Kwanini TRA wasitengeneze Software au Application itakayofanya kazi ya EFD Machines?

    Hakuna anayelazimisha, hizo ni nadharia tu. Sababu ya kulazimika kutumia mfumo huu pamoja na changamoto zipo na ni za msingi. Changamoto zinaboreshwa kila wakati, hata hili litaboreshwa siku moja ila kwa sasa tusivunje sheria kwa kisingizio ambacho hata ushahidi uliokamilika haupo. Kama kuna...
  4. Nzi ni nyuki mjinga

    Kwanini TRA wasitengeneze Software au Application itakayofanya kazi ya EFD Machines?

    Kukwepa kodi kwa kisingizio cha mfumo ni kukosa kuipenda nchi yako. Serikali ina mapungufu mengi, ni vizuri kutokutumia hayo mapungufu kufanya uhalifu. Kukwepa kodi ni uhalifu. Mapungufu yanafanyiwa kazi kila siku..
  5. Nzi ni nyuki mjinga

    Kwanini TRA wasitengeneze Software au Application itakayofanya kazi ya EFD Machines?

    Tulia tumia zilizopo mpaka tutakapopata mbadala. Usituchoshe
  6. Nzi ni nyuki mjinga

    GE2020 Kwenye mitandao ya kijamii na mtaani, Membe hakubaliki

    Lisu ndo hatari maana akipata hata wafuasi m3 halafu akataa matokeo wakaamua kuingia barabarani tayari ni tatizo. Mgombea anayehitajika ni yule ambaye atasema nimeibiwa kura ila tulieni.
  7. Nzi ni nyuki mjinga

    Msaada: Mchumba wangu kaniacha nahitaji mtu mzima wa kunisaidia kupatanisha

    Kama si mchumba official anayejulikana kwa wazazi wa pande zote mbili basi Mtu mzima mwenye busara ni pesa. Kama huyo anashindwa basi hakuna atakayeweza. Kama huna access ya huyo pole.
  8. Nzi ni nyuki mjinga

    GE2020 Kama ni kweli basi Kamati ya Roho Mbaya ya CCM hasa Jimbo la Kigamboni mkimaliza Kumlima Mtu mnione

    Vingine vyote naweza kuwa isipokuwa raisi. Na hili la raisi ni kwa sasa tu. Zilisikika Fikra za mtu mmoja.
  9. Nzi ni nyuki mjinga

    Kwanini TRA wasitengeneze Software au Application itakayofanya kazi ya EFD Machines?

    Ww unataka mfumo wa kulipa ndo ubadilishwe au mfumo wa utoaji risiti na utunzaji kumbukumbu za serikali Bank haitumii mfumo wa android kutunza kumbukumbu zao boss. Machine ya Efd si ya kutuma pesa, ni ya kutoa risiti na kutunza kumbukumbu. Mada imesugest tutumie android kutoa risiti si ndio...
  10. Nzi ni nyuki mjinga

    Kwanini TRA wasitengeneze Software au Application itakayofanya kazi ya EFD Machines?

    Ww unataka mfumo wa kulipa ndo ubadilishwe au mfumo wa utoaji risiti na utunzaji kumbukumbu za serikali?
  11. Nzi ni nyuki mjinga

    Kwanini TRA wasitengeneze Software au Application itakayofanya kazi ya EFD Machines?

    Tofautisha mfumo wa kulipa ela iwafikie na mfumo wa utoaji risiti na utunzaji kumbukumbu.
  12. Nzi ni nyuki mjinga

    Kwanini TRA wasitengeneze Software au Application itakayofanya kazi ya EFD Machines?

    Sijui sana mkuu, ila nachoelewa ni kuwa inahitaji kuwa smart kuweka mfumo wa kukusanya mapato ya nchi kwenye simu, na pia lile limachine la Efd si gharama ila kuna sababu ya kuwa ghali, nahisi ni mfumo na management ya software wakati wa installation
  13. Nzi ni nyuki mjinga

    Kwanini TRA wasitengeneze Software au Application itakayofanya kazi ya EFD Machines?

    Yes ila bank ukifanya kosa ukaibiwa pesa yako hilo si jukumu lao ni lako. Imagine mfumo wa android ni wa dunia nzima na control yake ni ndogo sana TZ. Sasa uutumie kukusanya mapato ya nchi yako halafu wanaijeria, waisrael, wahindi, waarabu woote hao wana utundu wa kucheza na android software...
Back
Top Bottom