Kwa kweli serikali inatakiwa kuchukua hatua za uhakika katika kukabiliana na tatizo la umeme hapa Dsm mambo yanazidi kuwa magumu sana sijui wenzangu mnaonaje kuhusu suala hili
Nkamia hacha kujidanganya vyombo vya habari haviwezi kudhibitiwa kinachotakiwa ni serikali kushirikiana na wanahabari kwa maendeleo ya nchi,lakini jambo jema zaidi hivi sasa ni uwepo wa on line journalism haina mipaka upo hapo Nkamia
Katika kipindi cha miaka mitano wilaya ya Songea pekee ndoa 500 zimevunjika kwanini idadi ya ndoa zinavunjika ni kubwa na inatisha hatujui sehemu nyingine hali ikoje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.