Recent content by Nzega

  1. N

    Wanasiasa tusaidieni janga la umeme Dar es salaam

    Kwa kweli serikali inatakiwa kuchukua hatua za uhakika katika kukabiliana na tatizo la umeme hapa Dsm mambo yanazidi kuwa magumu sana sijui wenzangu mnaonaje kuhusu suala hili
  2. N

    Kutoka Bungeni: June 30, 2011

    Nkamia hacha kujidanganya vyombo vya habari haviwezi kudhibitiwa kinachotakiwa ni serikali kushirikiana na wanahabari kwa maendeleo ya nchi,lakini jambo jema zaidi hivi sasa ni uwepo wa on line journalism haina mipaka upo hapo Nkamia
  3. N

    Kutoka Bungeni: June 30, 2011

    Anayoyasema mbunge huyo kwa kiasi fulani yana ukweli ndani yake serikali ilifanyia kazi suala hilo ili kuhakikisha kuwa IGP sasa anatoka Zanzibar
  4. N

    Kwanini ndoa nyingi zinavunjika

    Katika kipindi cha miaka mitano wilaya ya Songea pekee ndoa 500 zimevunjika kwanini idadi ya ndoa zinavunjika ni kubwa na inatisha hatujui sehemu nyingine hali ikoje
Back
Top Bottom