Mimi ni mwl sekondari manispaa ya kigoma ujiji natafta mtu wa kubadilishana nae kituo yeye aje huku na mimi niende nyamagana au ilemela kama yupo tuwasiliane kupitia 0714713147 au 0788896945
hongera mkuu hawa wanaojiita wazarendo hawana jipya wao watumikie mabwana zao ili walishe matumbo yao. ila kamwe hawataweza na mbinu zao chafu za kishetani
Hii hoja ni dhaifu sana kwa watu wenye akili na wanaofahamu nini maana ya vyama vya siasa na majukum yao,limtu linaumiza kicwa kuhoji matumizi ya CDM kwenye helikopta wakati ccm wanatumia pesa kuhonga kina zzk zenyewe hawahoji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.