Recent content by nywele moja

  1. nywele moja

    Hivi watu huwa wanajiona nani yaani?

    Yani humu jf Kuna wanaumr waovyo Sana ,kuweni makini....Kuna wanaume wasio kuwa naakili,na wenye akili....waongo,wachawi,Malaya,wenyekupoteza mda,deiwaka etc be careful girls
  2. nywele moja

    Kutoka kuichakata mbususu kimasikhara mpaka kuwa mke wa ndoa

    2018 we bado mtoto kumbe.....HAO lectures tajwa SIMJUI hata mmoja....walimu
  3. nywele moja

    Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

    Kosa ni la wazazi malezi mabovu ....Leo limetokea hili unauwa mtoto...,watoto wanapaswa kuandaliwa mapema katika maisha na njia iliyo nyooka Leo na kesho mzazi ASIJE aibika ......
  4. nywele moja

    Namtamani bosi wangu

    Hahahahah ,ila nyie dunia inamambo,hahaaa[emoji1787][emoji1787]
  5. nywele moja

    Ampiga mchumba wake risasi 10 za kichwa

    Mchumba asomeshwi jamani,mwisho kusomeshwa ni cherehani fulstop
  6. nywele moja

    Huyu binti ana laana?

    Mi naona kama laana ni wote WAWILI sio mmoja Tena....
  7. nywele moja

    Mke wangu haniheshimu

    Mtoa Uzi kwani WAKATI unamvizia na kumfukuzia jaman kwani haukuona hayo au,si ulimpenda mwenyewe mkapendana Tena kwa makubaliano
  8. nywele moja

    Ushawahi ishi na binti nyumba moja anakupenda kama hakupendi

    Kwa kweli aache ujinga.....[emoji109]
  9. nywele moja

    Kiukweli natamani sana kuishi maisha bila ya watu kunishangaa na kuniuliza kwanini

    Umesema upo Kijiji gani.sikutakii mabaya good luck to all your wishes,but chunga walimwengu,hata kama u kifanya for good intention na utaki ubaya na mtu ,bado walimwengu watakuloga jaman wasema wewe unaringa....
  10. nywele moja

    Baada ya kunikula kanichunia

    Aseee mbaya na ubaya ukila block ....sipendi mtu aniblock wa kwanza Bora Mimi ni we wa kwanza kunublock....nyambafu kabisa uyo mwanaume alikuwa tu anakuvutia mda...useless man
  11. nywele moja

    Soma taratibu kisa hiki kilichonitokea kisha nishauri

    Inawezekana mdogo wako rama hajua husu izo tabia za rafikiye....ala basi Cha MSINGI ,kaaa na uyo mdogo wako rama umwambie kinachoendelea na umchunguze inawezekana wanajuana ...na umkanye aachane naye kabisa....
  12. nywele moja

    Wanawake wengi wenye vichwa vidogo kichwani ni sifuri, msiwaoe

    Akili za rangi zote zaku ,organise , setting ,planning, formalizing,arranging,reasoning,summarizing,focusing,interpreting, analysing,....ongeza za kwako +ing.....[emoji16][emoji16]
Back
Top Bottom