Baada ya kuzulumiwa na mtu ambaye alikuwa karibu sana mimi, nimekuwa mtu hasira na woga sana , nawaogopa mpaka marafiki zangu, pia imefikia hatua mpka nataman kujinyonga.
Naomba msaada wa sycologist na gharama zake
Kiukweli hapo ndo nilipokosea lakin unaanzaje kuhisi babako unaweza kufanya hivi? Kitu ambacho nimejifunza usimwamini yeyeto kwenye pesa hata kama ni mzazi. Kila kwangu nifunzo pia, nimetambua marafiki wa kweli kwa kipindi hiki. Nimeona umuhimu wa mikataba hata kwenye vitu vidogo
Ntakopa tu nautafuta mzunguko wa benk tu,maana kwa Tanzania sikuwa na biashara yenye mzunguko ambao ningeenda naona bank. Kingine ukikopa ukiwa na stress huzalish, kama niliumia sana, nilikuwa naona mpaka aibu kutoka nje, ndo maana nimevumilia kwa miez kidogo ili mawazo na hasira zipungue
Kwa sababu ni wakubwa wako vyuo washamua kupigana. Naiman mwakan watarud tu sabab wote wanapigana tununue mashine tu za kuanzia aliyekuwa udom nadhan mwez wa kwanza atanunua mota mbili.
Ni mzima tu kwa mtu ambaye ashafuatilia kwa nin biashara nying za kifamilia zinakufaga chanzo huwa ni kama hii kila yeye nahisi atakuwa alipata dogodogo msomi akamvuruga akili. Mungu yupo hajanitupa inawezekana ningeendelea kuwa naye ningekuja umia zaid ya hapa. Hiki kidogo tu nishaona mabadiliko
Mungu yupo sikuamin kama ningeweza kuwa HIV mpk leo
Haha hapana siwez kumtapeli sema mzee wangu amezoea vya kunyonga toka zaman ni sisis ndo tulikuwa hatujuo
Ndo mpango wangu huo ila kwanza nipunguze stress maana hali ilikuwa tete mpk nkaanza kuongea peke yangu. Madogo washasimama kuna sehemu wamepata kazi za kuvolunteer
Naendelea vyema ilinibid niuze baadhi ya vitu vyangu vya ndan kama sofa set na simu zetu tufungue kwanza duka la mtaan(kwa mangi). Make aligoma kabisa nisienda kwanza moza. Kwa hofu ya hasira ambayo nilikuwa nayo ningefanya mambo ya ajab.kiukweli pamoja ya kuwa ni kidogo lkn mungu anajalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.