Recent content by nyuki dn

  1. N

    JamiiForums Tanzania Mwita Waitara: Ntaipasua CHADEMA vipande vipande wakiendelea kunifuatilia

    Kama alishindwa kuipasua Zitto na doctor Silaa itakuwa yeye Sent using Jamii Forums mobile app
  2. N

    JamiiForums Tanzania Fatma Karume Yamkuta Twitter, Ni Baada Ya Kusema Hajasomeshwa Na Serikali Ya CCM

    Ni kweli usiopingika kakulia ikulu lakn kasomeshwa kwa mshahara wa baba yake na siyo serikali ya ccm, watanzania tuache majungu kwa sasa ni mwanaharakati anataman kulikomboa taifa
  3. N

    JamiiForums Tanzania Mashambulizi kwa Dk. Malasusa ni mbinu za wanasiasa kuibomoa KKKT?

    Mi nafikiri kanisa lina nafasi kubwa kuliko siasa pengine kuna tofauti za kikanisa zilizosababisa mambo ya malasusa leo hii lakn tusiofaham tayari tumeingiza moja kwa moja kwenye siasa
  4. N

    JamiiForums Tanzania Tanzania Human Rights Defenders Coalition(THRDC) wamtunuku Abdul Nondo zawadi kwa kupigania Haki za Binadamu

    Pongezi nyingi sana kwa mwanaharakati Abdul Nondo
  5. N

    JamiiForums Tanzania Maandamano ya Aprili 26, 2018: Yanayojiri kutoka maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi

    JPM na police leo cku yao ya maandamano sio mpaka waonekane wanachama flan barabaran
  6. N

    JamiiForums Tanzania 'Katibu tawala' DSM agoma kurudisha pesa za maafa millioni 206.3

    CAG kwan kuna 206.3 zimeibiwa
  7. N

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Mbunge wa CCM, Deo Sanga ataka Dkt. John Magufuli awe Rais wa maisha

    Mi napendekeza akawe baba as familia yake maisha kwa maana kwa taifa ni janga
  8. N

    JamiiForums Tanzania Jamvi la Habari: Mbowe amtelekeza Tundu Lissu Ubelgiji. Analala na mkewe sebuleni kwa aliyemfadhili

    Musiba ni tatizo kubwa kwa taifa kama alinyimwa haki zake za matibabu mlitegemea aishi maisha gan?
  9. N

    JamiiForums Tanzania Lipumba na Mutungi waumbuka wizi wa fedha za ruzuku CUF washindwa kuwasilisha hesabu zaidi ya tshs1.6 bilioni kwa CAG

    Mungu hajaribiwa walianza kwa mbwembwe nyingi kuivuruga caf sasa hawana milango yakupenyezea aibu zimewajaa
  10. N

    JamiiForums Tanzania Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Kwa kweli katika awamu hii sijaona chochote cha maana kilichofanyika
  11. N

    JamiiForums Tanzania Hoja ya kumfuta Nape Nnauye uanachama CCM

    Ni haki yake kikatiba kutoa mawazo yake sio lazima yampendeze bwana yule
Back
Top Bottom