Babuu Rogger
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 1,529
- 1,114
Amechanganyikiwa maana anavyoshuhudia teuzi kila siku!!!
Mshambulieni ndio mpinzani wa kweli hakuna kama zitoDishi limeyumba mzee
Kwa nnHuu uzi kwa hali ya sasa unaweza kufutwa.
Jamaa hayuko upande wowote huyu anakula potepote upinzan na utawalanYeye mwenyewe yuko upande wao!
Nonsense!!! Wacha mbwembwe katimiza matakwa yake kikatiba si nyienyie mnalalmika kuwa hampewi uhuru... Watu wakifanya wanachotaka mnalalamika teeena au uhuru wa kujieleza na maamzi kumbe n kusimama majukwaaani tu etmbunge wa kigoma zitto kabwe kwa tiketi ya ACT wazalendo ameamua kutumia ukurasa wake wa twitter kumwambia maneno mazito aliyekuwa mbunge wa Ukonga kwa tiketi ya CHADEMA ndugu MWITA WAITARA huku akimwambia alichokifanya si jambo nzuri hata kidogo maneno hayo yanasomeka kama ifuatavyo..
"Mbunge mwenzio yupo hospitali mwaka sasa kwa majeraha ya risasi kufuatia jaribio la kumwua. Viongozi wa Chama chako Karibu wote Ngazi ya Taifa wana kesi inayohatarisha kuwaweka jela. Watu wanauwawa na kupotea kila siku. Halafu unajiunga na hao wanaosababisha hayo? Kweli Mwita?"
zitto kabwe!
Zito kweli ni wale wale abasubria muda ufike tuZitto yeye mwenyewe ni wale wale kina waitara
Kwa iyo bombardier zisisifiweKubwa la WANAFIKI katika ubora wake !! Mbona na yeye yuko NJIANI haifiki November atazisifia zile Bombardier 2 zinazokuja na atatangaza kujiunga siasa za HAPA KAZI TU, kama mnabisha. SUBIRINI !
Mwita alipikwa akiwa ccm ndio akahamia chadema. Sasa ameamua kurudi nyumbani ccm alikolelewaCHADEMA ina hazina ya viongozi.Endeleeni kuwapika wengi ili wapate kazi na ulaji upande wa pili.Hongera CHADEMA
Umeongea yale akili yako inapofikia mwisho wa kufikiri!!Siasa haihitaji hasira. Zito atulie tu maana kila mtu anajua namna gani afanye kuridhisha nafsi yake na namna gani atailisha familia yake..Chadema humo ndani wanamambo mazito sana ni vile wengine hamjui.
Katumia haki yake kikatiba kuhama na nisawa tu. Waliotaka kumtoa lissu SIYO SISIEMU NARUDIA SIYO SISIEMU
MUDA UTASEMA.
Wewe umeongea kweli kabisa hii coment ni ya halali kabisa unaona mbali sana.Zito kweli ni wale wale abasubria muda ufike tu
Dah, basi rudisheni cctv camera, mbona mmeziondoa kimya kimya, na matibabu mmegoma kulipa mpaka michango.Siasa haihitaji hasira. Zito atulie tu maana kila mtu anajua namna gani afanye kuridhisha nafsi yake na namna gani atailisha familia yake..Chadema humo ndani wanamambo mazito sana ni vile wengine hamjui.
Katumia haki yake kikatiba kuhama na nisawa tu. Waliotaka kumtoa lissu SIYO SISIEMU NARUDIA SIYO SISIEMU
MUDA UTASEMA.