Hiyo familia ni wanafiki sana! Huyo ana ndugu yake anafanya kazi katika moja ya taasisi ya umma Arusha ni mnafiki kwa kiwango cha shetani. Usiamini mkinga yeyote anayeitwa Sanga.....utapotea!Ana fikiria kila bunge jipya watapata mgao wa millioni 10.
Siyp darasa la 4. Aliishia darasa la pili. Hata jonanlake tu huwa anaandikankwa shoda sana.Huyu mbunge ni darasa la NNE kwa mawazo yake yupo sahihi ndo yule mwenye magari makubwa ya Jah People
Wao walikuwa kama Mh. Magufuli? Jibu kwanza hilo ndio uendelee kuchangia.Hivi Marais Wastaafu wangekubali hoja kama hiyo wakaamua kukaa maisha. Je huyo unayetaka akae maisha umempata? Hivi hawa watu wakoje?
Unamaanisha anaweza kuwa ni tajiri ila analala sakafuni!?Huyu Mbuge aliishia darasa la 3, sinshangai uwezo wake wa kufikiri. Kinachombeba ni utajiri wa Kikinga wa Makambako