Mkuu Mali alizo acha marehemu baba wa binamu ni Mashamba,nyumba (yapo kijijini) tatizo imebaki kwenye fedha anazotunziwa kila mtumishi wa umma anapofanya kazi (mfuko wa PSSSF) ndio dogo anataka afuatilie coz Mashamba walishagawana kitambo na nyumba wamemwachia dogo,alafu vuta hali ya kijijini...
Huyu ndugu yangu(binamu), baba yake alikuwa mwalimu alafu akapanda kuwa afisa mratibu kata, alifariki Desemba 2002 akaacha watoto watano na mjane moja, mke wake (mjane) alisumbuliwa na maradhi (systematic disease) mpaka mwaka huu April aliaga dunia kwa hiyo hakufuatilia mirathi.
Kati ya hao...
Napendekeza ustawi wa jamii wajikite kutoa elimu na majukumu ya ndoa kuliko kufuatilia wanaume wanaoterekeza wanawake na watoto wakati chanzo ya kuterekeza wanawake na watoto ni kutokuwa na elimu ya ndoa.
Ukifuatilia ustawi wa jamii wakihojiwa na kutoa elimu wamejikita sana kwenye matokeo (out...
Mkuu watu kama hao usitumie nguvu nyingi kuwajibu, wana daraja la kwanza ya upumbavu, kama anatamani kupiga debe stand kuliko kuwa mwalimu,huyo ni mkweche mwache tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.