Recent content by NYOTA YA JAAH

  1. N

    JamiiForums Tanzania Wakazi wengi wa Uswahilini Dar es Salaam ni viumbe wa ajabu sana

    Hya umemalza utafiti solution ni nini bwana tajiri wabadilike wawe kama wewe.
  2. N

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimekuta kibubu kina 30,000/- tu baada ya kuweka pesa karibu miezi 5, nifanyeje?

    Sio Kujitambulisha kama ni WA kike Kwan nimekosea kusema hivyio.?
  3. N

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimekuta kibubu kina 30,000/- tu baada ya kuweka pesa karibu miezi 5, nifanyeje?

    Kujilisha ni shida nawezaje nikawa na marioo but asante
  4. N

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimekuta kibubu kina 30,000/- tu baada ya kuweka pesa karibu miezi 5, nifanyeje?

    1. Naishi mwenyewe 2. Hakuna yeyote ambaye anazingia ndani kwangu ni mimi na vitu vyangu. 3. Sina hiyo kawaida ya kuingiza mtu ndani kwangu, mazingira ya kawaida yan kitanda na vitu vingine vya ndani na Sina makoro Koro ni chumba cheupe sana coz ndo kwanza naanza maisha.
  5. N

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimekuta kibubu kina 30,000/- tu baada ya kuweka pesa karibu miezi 5, nifanyeje?

    Sawa nitafanya hivyo nilikua nafikiria hivyio ila nikaona nisave nilipe then nielendelee na ishu hiyo.
  6. N

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimekuta kibubu kina 30,000/- tu baada ya kuweka pesa karibu miezi 5, nifanyeje?

    Asante, nashukuru Kwa ushauri wako.
  7. N

    JamiiForums Tanzania Jinsi ninavyopunguza uzito na mafuta ya mnyonyo

    Tuwekee picha ya hayo mafuta unayotumia
  8. N

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimekuta kibubu kina 30,000/- tu baada ya kuweka pesa karibu miezi 5, nifanyeje?

    Habari, Jamani naomba msaada wa aina yeyote ile, nimechanganyikiwa sana sana. Niende kwenye mada; Mimi ni dada ambaye najishughulisha na biashara ya kuuza matunda, sasa basi nimepanga mahala naishi mwenyewe, nina tabia ya kuhifadhi pesa ndani, yaani ule mfumo wa kuweka kwenye kibubu. Yaani...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Nepi chafu (diapers/pampers) za watoto kutupwa ovyo mitaani tatizo ni nini?

    Wabeba taka pia walaumiwe Kwa hili wapitie taka Kwa wakati ili zisifike mitaroni na sehemu sio rasmi.
  10. N

    JamiiForums Tanzania Kuna familia nyumba zao ni vilinge vya madhabahu za giza

    Umenikimbusha mbali sana Mshana Jr mwaka 2006 nilienda na rafiki yangu Kwa shangazi yake kumsalimia, keko magurumbasi tulilala huko basi bwana usiku tumelala nikaanza kuona vitu vya ajabu mara niguswe mara niitwe na pale ni mgeni lakini naitwa jina langu kabisa 😭😭 usiku ule nilishindwa kulala...
  11. N

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Inasikitisha: Tazama hali ya miundombinu Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja, Unguja, Zanzibar

    Mbona hpo pazuri sana huko shamba hamna hata dawa .
  12. N

    JamiiForums Tanzania TANESCO: Tuna upungufu, siyo mgao wa umeme. Wananchi endeleeni kuvumilia

    Huku temeke umeme hamna Toka saa 12 , mpuuzi huyo.
Back
Top Bottom