Recent content by NYOTA YA CHIPS

  1. N

    Maendeleo ya afya ya Waziri Mkuu mstaafu, Edward Ngoyai Lowassa

    Lowasa Nation.....our president 2015
  2. N

    Maendeleo ya afya ya Waziri Mkuu mstaafu, Edward Ngoyai Lowassa

    mwamba wa kaskazini umetua Arusha muda huu all the way kutoka dodoma bungeni......mwaka huu lazima mfe kwa presha wahafidhina wote
  3. N

    When We Were Leaders: Reflection of the Passing of Gen. Hashim Mbita

    Ni kweli mkuu ni miongoni mwa walioamka jioni....Wale waliozaliwa mwishoni mwa 1980's na mwanzoni mwa 1990's ni watanzania pia wanapaswa kuwajua mashujaa hawa....Bandiko langu hapo juu limeshauri kufanyike jitihada tulioamka jioni tuimbe na sisi nyimbo za mashujaa hawa...japo nimeshauri kwa...
  4. N

    When We Were Leaders: Reflection of the Passing of Gen. Hashim Mbita

    Mimi huu unafiq ndio kila siku naukataa na nitaendelea kuukataa mpaka siku ya mwisho......tulikuwa wapi siku zote hizo kumsifia na kuenzi uzalendo wake? amefariki ndio povu linawatoka...!! Hashim tafadhali huko ulipo usipokee r.i.p za wanafiki, pokea r.i.p za familia yako tu kwamaana ni za dhati...
  5. N

    ACT-Wazalendo watafanya Mkutano mkubwa leo Songea

    ni balaaa ACT hatareeeee.....zito hatareeerr
  6. N

    ACT-Wazalendo watafanya Mkutano mkubwa leo Songea

    Act- wazalendo kimbizaaaaaaa
  7. N

    Kitendawili cha Rais wa Awamu ya Tano wa Tanzania...

    Haya ndio madhara ya kujamiiana mchana wa jua kali.....mtu unakurupuka hujanawa unakimbilia kuanzisha thread ambayo haieleweki mbinguni haipo duniani haipo.....Siasa ni pure mathematics...aliyejiandaa vyema ndiye atakuwa rais...mambo ya vitendawili na usheikh yahaya muachie mwanae aliyemrithisha
  8. N

    Zitto: Nipo tayari kuondoka CHADEMA iwapo nitapewa taarifa rasmi

    Zitto = mbowe+ lema+sugu+mnyika+mdee+Cuf+lisu+nccr+tlp+ndesamburo+nyakarungu+dr slaa+kagenzi+cheyo+lyatonga+yericko+josphine
  9. N

    Home Boy wangu Ali Kiba na matangazo clouds

    Yani wewe mojawapo kati ya haya linakuhusu:- 1. Mchawi 2.Upo kwenye succession plan ya kurithishwa uchawi. 3.Mchoyo 4.Roho ya korosho au 5.Unemployed
  10. N

    Nguruwe wa Mbegu

    Assalaam Aleikum...!! CC: faizafox
  11. N

    Tundu Lissu atangaza rasmi Zitto Kabwe kuvuliwa uanachama wa CHADEMA

    Shimboni Shafoooo......najua mmenielewa
  12. N

    Alikiba Chekecha Cheketua (Here is the song)

    Bonge la songiiiiii......Shikamooo Ali K
  13. N

    TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

    Kwaiyo Postmortem report yako inasema komba kafa kwa madeni?......Hizi bangi msipende kuzivuta kavukavu wenzenu huwa wanachanganya na fegi na wanasokotea rizla ili kupunguza makali sasa wewe unavuta kavu nzima nzima lazima ikuchanganye medula oblangata
  14. N

    Picha: Mbowe akagua Red brigade Mwanza

    Mkuu bangi unayovuta ni made in wapi?
Back
Top Bottom