Sukutua kwa kutumia chumvi ya unga iwe kama dawa yako pia usisahau kusukutua ulimi japo mwanzoni chumvi itakuzingua komaa nayo tu kisha suuza kinya kwa kusukutua na dawa ya meno aina ya kologet usitumie dawa aina nyingine fanya hivo kwatwa mara mbili kwa mda wa siku 5 hauto nuka tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.