Recent content by nyore

  1. N

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi yoyote halali

    Wasifu wangu; JINSIA; Me UMRI; 24-26 ELIMU; Bachelor of business administration MAKAZI; Dar- kigamboni Naombeni mwenye mchongo wa kazi yoyote halali anisaidie nikakomboe cheti changu chuoni kuna kiasi flani cha ada nadaiwa.
  2. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake jinsi wasivyokuwa waaminifu...

    Fear women
  3. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa Ushauri wa haraka ndugu zangu

    Huwenda ikawa hivyo, lakini kumbuka wao ndo walianza kunitafta na sikuwa na namba yao, na wao ndo wakawa wa kwanza kuleta mishe za mapenzi, anyway kosa ni kosa tu
  4. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa Ushauri wa haraka ndugu zangu

    Wazazi wangu, sio rahisi hivyo hasa mzee.
  5. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa Ushauri wa haraka ndugu zangu

    Naam simu kumbe alikuwa nayo mwanaume, na ndo niliyechart nae
  6. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa Ushauri wa haraka ndugu zangu

    Dah kaka, familia ninayotoka mzee wangu ni mkoloni hata ndugu zangu, naogopa sana watanishambulia mno, matusi ya kila aina
  7. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa Ushauri wa haraka ndugu zangu

    Sijawahi kufanya ndugu yangu, na hata namba yake baada ya kuolewa sikuwa nayo kabisa. Ndo siku hiyo ya kwanza kuwasiliana nae na yeye ndo aliyenitafuta ndo ikawa hivi
  8. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa Ushauri wa haraka ndugu zangu

    Msaada
  9. N

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nataka kuanzisha biashara ya Nafaka au Vipodozi

    sawa bro shukrani
  10. N

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nataka kuanzisha biashara ya Nafaka au Vipodozi

    Mtego huu, unataka nikose hata huu mtaji kaka
  11. N

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nataka kuanzisha biashara ya Nafaka au Vipodozi

    sawa kaka nitafanya hivyo wakanipe abc
  12. N

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nataka kuanzisha biashara ya Nafaka au Vipodozi

    Kaka warembo wa nolasco watanifanya nirudi mkoani
  13. N

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nataka kuanzisha biashara ya Nafaka au Vipodozi

    sawa kaka nawasubiri
  14. N

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nataka kuanzisha biashara ya Nafaka au Vipodozi

    Me kijana wa kiume (24) nimemaliza chuo mwaka huu, Nina mtaji wa m1.5 ipo kati ya biashara hii itanitoa; (1) BIASHARA YA NAFAKA. Ni biashara ambayo naipenda sana tangu zamani japo sijawahi kuifanya ila natamani siku moja nianze kufanya, nijikite katika uuzaji wa mchele kama bidhaa kuu vingine...
  15. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Aseeee threesome ndo kitu nakitafta, wawepo madem wawili lesbian niwapelekee moto.
Back
Top Bottom