Ikiwa hivyo watakuwa wamefanya jambo la msingi Sana maana haiwezekani D nne ni ufaulu wa kijinga sana kusoma degree.
Sent using Jamii Forums mobile app
Iko hivi kwa vyuo vilivyoko chini ya NACTE kwa kada ya Uhandisi yani DIT, ATC , na MUST japo saizi hii MUST ni University kama umesoma vyuo hivyo diploma kwa corse hiyo hiyo uliyo soma ukiomba digree unasoma miaka mitatu mfano umesoma Civil Engineering DIT ukiomba hiyo hiyo Civil Engineering...
Dawa ni migomo mikubwa ya vyuo vyote nchi nzima hiyo ndo inayo weza kuwasaidia maana huyo Rais ni mpenda sifa hataki kuonekana kama anaharibu wakati kumbe hana lolote maana unaona alivyo wai kujitangaza kua kisha idhinisha pesa ili tu jamiii imuone kua anatimiza ahadi zake kumbe wanafunzi...
Me nimeanza punyeto tangu mwaka 2010 na muda naweza piga punyeto hata mara 5 kwa siku lakini hadi saizi nikienda kwa demu anaelewa tu jinsi nlivyo fit mimi bado natafuta huu usemi wa punyeto wanautolea wapi kua ina madhara.
Ndio mfano ni mimi binafsi nilimaliza DIT diproma ya Civil Engineering nikaja coet degree naingia kwaka wa 4 sasa ila najuta kwa nini hawakunibakiza DIT kwa sababu hadi saizi knowledge nilizo pata diproma ndo zinanisaidia hadi saizi kuliko ninacho kipata saizi zaidi ya Umbea mwingi bila action.
Ila nimeona jamaa kaongelea project hebu jaribuni kuonesha project zilizofanywa na wana Coet na za wana DIT tuone ni wapi wana project kali au tupate watu kama wakina Mello walo tengeneza forum hii hadi leo mnapata nafasi ya kubishania tunaombeni hizo project sio maneno mengi yasio jenga mifupa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.