Jamani naomba msaada wa kujua kama Biashara ya Bajaji ya Abiria inalipa kwenye jiji la Arusha?
Maana kwa sasa na bei imepanda sana ni 7.5 mpya. Nimevutiwa kununua nimpe kijana anileteee pesa kwa Siku ama wiki, mwenye uzoefu na hii kitu naombeni jamani!
Pia soma: Wazoefu wa biashara ya boda...
Nitumie mimi hiyo picha ya nyumba, mana na mimi saizi nimemaliza boma lote just kwa mwezi mmoja tu. Bado kupaua tu ndo nakusanya nguvu ya pesa tena, nyumba ya vyumba vinne na kila kitu ndani. Makadirio ya kupaua ni stress tu napewa na mafundi mana kila fundi anakadiria gharama tofauti
Asante sana Mkuu, nakushukuru mno! Mimi ninamiliki ni hii hapa kwenye picha Honda Fit ya Mwaka 2002, Nyeusi. Ni kweli gari hizi zinakimbia sana, na kichanganya haraka sana.
SAMAHANI KWA KUKUSUMBUA unisaidie tena mana hii Honda Fit nina muda mfupi tu tangu niagize , toka Japani Kuja Bongo.
1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.