Recent content by nyongise

  1. N

    Maalum kwa akina dada tu

    Muonyeshe unampenda wastani na si kupita kiasi vituko atakachokufanyia utajuta maishani mwako.Zawadi pekee unayoweza kumpatia ni uaminifu juu yake na upendo wa kweli.Mengineyo ni nyongeza tu katika maisha .Usijaribu kumuonyesha maisha ya kisanii kama bongo movie .Kwani maisha ya ndoa ni dhamana...
  2. N

    heloo jf

    Habari zenu mabibi na bwana.nafurahi kuwa pamoja nanyi naomba ushirikiano wenu.
  3. N

    Zamani nilivyokuwa Mjinga!

    mimi nilikuwa najua kuwa wale wote wnye vipara ni wanaakiri sana ndio wanakuwa madoctor
  4. N

    Naomba ushauri,Housegirl kanilengesha mpaka Nimetembea naye

    wewe umeharibu ulikuwa na house girl mzuri sana .Huyo anaweza kukukomoa atapata mimba ya mtu mwingine na akasema ni yako na watu wataamini kwa sababu ni mzinifu.la msingi wewe mwambie mke wako uzalendo ulikushinda ukateleza .kabla ya mambo hayajaaribika aondoke haraka sana la sivyo utakuja...
  5. N

    Tetesi: Mwanasiasa kijana mtaka Urais aanzisha gazeti lake!

    Jamani mimi napita tu.hamjambo lakini?
Back
Top Bottom