Recent content by NYOKA MWENYE MAKENGE

  1. N

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi ni Mwalimu Wa secondary wa Biology, nipo kibaha district tubadilishane kituo nije Arusha Town council haps kwenda Dar dk 40 tu ni dm kama upo
  2. N

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Tubadilishane kituo cha kazi Mimi Ni mwalimu Wa secondary ,nafundisha biology nipo Kibaha district njoo Kibaha , nije Arusha Town Council
  3. N

    Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

    Natafuta engine ya Vitz old model cc 990 njoo Dm kama unayo
  4. N

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Ndugu zangu mm ni mwalimu Wa Secondari nipo Mlandizi natafuta Mwalimu wilaya ya Arusha mjini tubadilishane aje kibaha mm nije Arusha namfata mume wangu upatapo ujumbe huu nitafute kwa 0787000247
  5. N

    Naomba kujuzwa kuhusu gari aina ya Toyota Allion

    Anayeijua sifa ya hii gari wakubwa kuna mtu anaiuza nawaza kuinunua. Toyota Allion
  6. N

    Naombeni sifa ya gari aina ya Alphard G

    Habari ndugu naomba kufahamu nguvu na uwezo wa Alphard G naiwaza ninunue iwe ya familia iwe Ni 4 cylinder,Nawakilisha kwenu
Back
Top Bottom