Basi na mimi nitasilimu ili nikienda peponi nianze kukubikiri wewe,ingawa sijajua kama ukifika huko uwa inarudi maana hapa duniani sidhani kama wamekuacha salama
Ambacho Obama aliwahakikishia kua you will never see osama bin laden on this earth again" sasa waache hao wanaokaa wakisema hajafa wakati mke na mtandao wa al qaeda walikubali na kudai watalipa kisasi.wewe amini yupo ingawa mimi najua yupo pepo ya waislam ana enjoy mabikra 72 usiku na mchana.
Cha muhimu kufuata sheria ya nchi,ukiona ngum unarudi kwenu kwani waislam ambao ni wazawa wapo kimya,pili lazima kuwe na sababu za msingi kwa marufuku hyo ,je wewe unazijua?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.