Recent content by NYMPHA

  1. N

    Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

    Niliwai kusikia,alifumaniwa na mke wa mtu,akapewa choice mbili,kukatwa mkono au kufanyiwa kitu mbaya na wanaume wenzie na kutangazwa kwenye magazeti akachagua kukata mkono wakasisitiza lazima uwe wa kulia ndo akakatwa.sijui kama ni kweli!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
  2. N

    Kagoda Agriculture Ltd: Another BOT scandal

    Pdidy nakuunga mkono,pamoja na maombi uwazi ni muhimu na wenye taarifa wasiishie jambo forums tu,waende na sehemu nyingine ambako taarifa zinaweza kuwafikia watu wengine
  3. N

    JK Awafunga goli watanzania, wao washangilia!

    Mi Kikwete nimemzoea kabisaa,kwa usanii Rais wangu nampa namba moja.Nampenda kwa kuwa anajua kucheza na mind za watu wasiopenda kwenda kwenye details lakini ni mashabiki wazuri na wasiofikiria vizuri.Kwangu mimi bao kabisaa,akimkamata Balali na chain yake yote ntaanza kumuelewa lakini huo usanii...
  4. N

    Kenya Election 2007: Outcomes

    The struggle continues,no matter what there is still a need to fight.Watu wa East Africa na wapenda Demokrasia inatosimamia haki,maadili ana uaminifu hatupaswi kukubali mambo yaishe kiholela.Raila hakugombea uwaziri mkuu bali urais,kwa maoni yangu kama mtu ninayyeamini ameibiwa kurana wapumbavu...
  5. N

    Mhariri Mtendaji wa Gazeti la MwanaHALISI, Saed Kubenea avamiwa na kumwagiwa tindikali akiwa ofisini kwake

    Kwa wale tunaofuatilia makala zake,tuna kilasababu ya kuamini kuwa katika hili kuna mkono wa mtu mmoja katili lakini pia mwenye nafasi kubwa na anayepigwa vita na walio wengi kuwa ni mbadhirifu,uchunguzi ni muhimu.
Back
Top Bottom