Recent content by nyisaba

  1. nyisaba

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Watu wanaomba kuunganishiwa maji kwa matumizi ya ndani, lakini matumizi yao ni kwa ajili ya kuuza. Mnawatambuaje hao? Wapo wengi sana sizani kama mnawatambua Sent using Jamii Forums mobile app
  2. nyisaba

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Siku ambayo Rais Wa nchi ataifumua Tanesco ntafurahi sana. Nina mwaka naomba umeme yaani hapahitajiki hata nguzo!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  3. nyisaba

    Kucheleweshwa kwa Mkopo World Bank: Tumkemee Zitto Kabwe kwa pamoja

    Kama ni kwelia ameandika lengo sio tunyimwe pesa Bali ni kupunguza deni LA taifa. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. nyisaba

    Tanesco kununua magari 106 ya kuwafuata wateja

    Sio watuufuate wao. Tunataka nguzo zitufuate tuliko!! Sent using Jamii Forums mobile app
  5. nyisaba

    Series (Special thread)

    Working Dead bado inaendelea kweli jamani?
  6. nyisaba

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Ni kweli bei ya kuunganisha Umeme kwa wasio hitaji nguzo umeshuka?
  7. nyisaba

    Kwanini tunasherehekea siku ya kuzaliwa?

    Haina maana. Naona kama unafurahia kuisha kwa umri wako. Maana uliona wapi MTU akipoteza fedha akafanya sherehe? Ila anapoteza umri anafurahia hiyo akili matope!!!
  8. nyisaba

    Hatari! Dada aibukia kwa RC Makonda na kudai ametelekezwa na baba yake ambaye ni Mzee Edward Lowassa

    Inabidi sasa ustawi Wa jamii wajiudhuru wameshindwa kazi. Kwa nn kazi zao zifanywe na makonda?
  9. nyisaba

    Gharama za Saadani National Park

    +255 683 477 776 jaribu kumtafuta huyu tour guide anaitwa J4.
  10. nyisaba

    Ni 40% ya wagonjwa wa TB tu ndiyo wanagundulika katika vituo vya huduma za afya

    VIDEO: ''Atakae tema Makohozi ovyo kupigwa faini Dar" DC - MUUNGWANA BLOG
  11. nyisaba

    Ni 40% ya wagonjwa wa TB tu ndiyo wanagundulika katika vituo vya huduma za afya

    Ukitaka kujua dar watu wengi wagonjwa pita kama kariakoo au posta kila hatua unakutana na makohozi yametemwa.
  12. nyisaba

    Je, ni kweli NECTA wametuma wapiga picha wao kuja kupiga picha za kidato cha 2&4 Uyui, Tabora

    Wengine tunachisikia ni kuwa Wakurugenzi Wa halmashauri ndo wanaolipa. Kwa hiyo wametangaza tenda kwa wapiga Picha watakao wapeleka mashuleni. Na sio necta.
  13. nyisaba

    Halotel mtakuja jutia kwa uamuzi mliochukua, mamia ya watu wanahama halotel

    Mtakimbizana sana ila Halotel mtarudi tu
  14. nyisaba

    Kama simu yako ni original chora huu mstari

    -_·----_--------------
  15. nyisaba

    iPhone zote zipo. Niagize nikuletee ulipo kwa Dar na mkoani nikutumie

    Mimi nataka Tablet ya laki 2 napata kweli
Back
Top Bottom