Watu wanaomba kuunganishiwa maji kwa matumizi ya ndani, lakini matumizi yao ni kwa ajili ya kuuza. Mnawatambuaje hao? Wapo wengi sana sizani kama mnawatambua
Sent using Jamii Forums mobile app
Haina maana. Naona kama unafurahia kuisha kwa umri wako. Maana uliona wapi MTU akipoteza fedha akafanya sherehe? Ila anapoteza umri anafurahia hiyo akili matope!!!
Wengine tunachisikia ni kuwa Wakurugenzi Wa halmashauri ndo wanaolipa. Kwa hiyo wametangaza tenda kwa wapiga Picha watakao wapeleka mashuleni. Na sio necta.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.