53.-(1) Kila mtoto ana haki ya:
(a) kupewa jina, uraia na kusajiliwa;
(b) kutoa mawazo, kusikilizwa na kulindwa dhidi ya uonevu, ukatili, udhalilishaji, utumikishwaji na mila potofu;
(c) kuwekewa mazingira bora ya kucheza na kupata elimu ya msingi;
(d) kuhifadhiwa katika mazingira mazuri...
Asalam alyekum waungwana! Kwa wakristo bwana asifiwe!
Jamani pamoja na kuwepo na changamoto nyingi za kisiasa. Kitendo cha rais wa msumbiji kuichagua tanzania kama nchi yake ya kwanza kufanya ziara ya kimataifa kinadhihirisha wazi kuwa bado nchi ya tanzania inaendelea kuwa kinara cha siasa za...
duuh hii sasa sifa! Halafu mbona hakuna mbnge anayelipeleka hili suala kama hoja binafsi. Magazeti yetu nayo naona kimya. TV nazo naona kimya. face books. ingependedeza kama watu wangelipigia kelele hili suala maana hali ya wananchi haiendani kabisas na kinachotafutwa. wabunge hawa...
katika hili suala yapo mambo ya msingi na yanayoweza kufanywa na serikali na pia yapo ambayo siyo realistic lakini kamati iliyoundwa na PM itayashughulikia yote!
nawashangaa sana watu wanaombeza PM. Uamuzi aliouchukua ni sahihi kabisa. Hawa madereva na wamiliki wa magari ni wepesi sana wa kupandisha bei za nauli mafuta yakipanda bei lakini yakishuka bei wanajifanya hawaoni. Kwa mtu anayefikiria vzr hili suala la mgomo wa madereva si la kisiasa. sasa...
Citizens support Katiba draft
Published on Thursday, 02 April 2015
Written by DAILY NEWS Reporter
AS the deadline for referendum on the proposed constitution is near, over half of citizens say they would vote for the proposed draft, Twaweza findings report released on Wednesday...
Rais Kikwete Aonya Chokochoko za Siasa Kupitia Dini
Mpekuzi blog
RAIS Jakaya Kikwete amesema wakati taifa likielekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani baadaye mwaka huu, kumeibuka nyufa zinazojengwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa na mashabiki wao ambao...
Hili suala tulifanye kwa hekima ushindani siyo mzuri tuwatafute viongozi wetu wa kisiasa tuongee nao. Mbona wao hawatuingilii kwenye nyumba zetu za ibada wanatuheshimu. Mi ushauri wangu 'tujadiliane hatua kwa hatua tutafika tu!"
Ni kweli hakuwa na haki ya kumponda mwenzake hadharani ovyo ovyo vile halafu anakimbia kimbia ndo maana yake nini ile video hatuelewi kama askofu angeweza mtafuta pengo na kuongea naye kiutu uzima si kila jambo la kujitafutia sifa
Hivi karibuni nilimsikia yule mchambuzi nguli nchini mkinga akihojiwa kwenye tv. Mkinga aliwakosoa wale wanaosema kuwa katiba inayopendekezwa ipingwe kwasababu hakuna nakala za kutosha. Mkinga alisema kuwa watanzania hawana utamaduni wa kusoma na ndiyo maana hata ile katiba ya mwaka 1977 imekaa...
VIJANA WANYA VIROBA :mvutaji:MSIKUBALI KUTUMIKA KISIASA!
KATIBA IMEWATAMBUA, TUMIENI NAFASI LEO SIYO KESHO
Katika taifa lolote vijana ni nguzo kuu ya kuleta maendeleo katika jamii husika. Ushiriki wa vijana katika harakati zote za kijamii, kiuchumi na kisiasa ni nguzo muhimu katika ujenzi wa...
Tarehe 28 Machi, 2015 Rais Jakaya Mrisho Kikwete, akiwa na Viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini zote mbili Ukristo na Uislamu, katika mkutano wa Kamati ya Amani Tanzania uliofanyika katika Ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere, uliopo Posta Dar es Salaam alitoa hotuba ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.