Oky mkuu soko lenu huko lipo chini kidogo kuna ahueni kidogo sema sijajua transport gar kubwa ikipakia hapo mpaka dar ni sh ngap? Kwa uzoefu wako kwa mchanganyiko wa 2*4 2*6 1*6 1*8 1*10 gar inaweza pakia pics ngapi?
Ngoja niongeze nyama kidogo juu ya hili la mbao
Biashara ya mbao hususani nyeupe ipo ktk makundi almost matatu
1. Huyu ni yule mfanya biashara anae vuna miti na kuichana kisha kuziuza mbao zake huko huko shamba kimsingi kundi hili yeye kajikita ktk kuvuna tu katika kundi hili kuna aina mbili...
Yani ww unaringanisha thamanu ya mbao na chuma duh hii kweli tatizo by the way watanzania tunapenda sana cheap thats why tunakipa thamani chuma ili tu kuiridhisha mioyo yetu
Inshort hivyo vyuma vimeletwa ili tu kusaidia kupunguza gharama kwa watumiaji katu usije ringanisha thamani ya mbao na...
Mkuu inshort kama mm nishafanya biashara ya mahindi mkuu nilikuwa nayatoa mbozi mlowo nayaleta iringa nasaga na kufunga mifuko ya kg 5 , 10, 25 na kimsingi nilifanikiwa kwa kiasi kikubwa nilipata watu wa kuwasambazia hizo sembe tena kwa bei za jumla mkuu sasa kwa ww kama upo Dar nenda tandale...
Hakuna biashara mbaya kwa uchumi wa sasa kama kumkabidhi dalali mzigo wako tena wenye thamani ya 15 ml then uje kuchukua pesa after sijui 2 days mkuu acha kabisa hii kitu nenda sokoni mwenyewe epuka dalali utafilisika
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.