tayari umeshakuwa bias, umesema polisi wameframe makosa yake kwa uhakika kabisa then unataka watu wajadiri.
Tukisema uoneshe ni kwa namna gani hiyo frame ilifanyika unapata kigugumizi. Kwa nini usiache mahakama ifanye kazi yake.
Mkuu sikubaliani na wewe ktk hoja zako tatu hapo juu.
Wanaopinga chanjo ya corona wanao uelewa wa kutosha tu kuhusu masuala ya serikali na bunge. Tunafahamu kwamba kwamba wabunge ni wawakilishi wa wananchi na kwa hivyo ni vyema wakaangalia changamoto/mawazo yao na kuipelekea serikali kupitia...
Probability ya watu wembamba kuzama huwa ni kubwa ukilinganisha na wenye miili mikubwa so life jackets kubwa sana huwa hazipatikani... .. Haaahaa!! Utani tu mkuu.
Mkuu haujaandika vizuri. Unasema kwa mfano hizi tozo ni matunda ya awamu ya tano lakini haujaonesha ni kwa namna gani.
Unasema yule aliyeuwa polisi juzi ni matunda ya awamu ya tano lakini haujasema kilichomsukuma akafanya hivyo..
Kitu pekee ulichoeleweka ni wewe kuwa na uhasama na hayati jpm.
Kama unayosema wewe ni ya kweli basi sababu za kujitoa kwao zilikuwa za uongo na kama sababu walizosema ni za kweli basi wewe hukuchimba vya kutosha kuhusu hili sakata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.