Wadau nani anaweza kutujuza juu ya tetesi kuwa Jaji Makame amefariki Dunia maana habari zinaenea kama upepo je kuna ukweli juu ya hili? alilazwa mwezi uliopita habari za kupata nafuu sijaziskia je nikweli ama wanazusha wameamua
Nilichogundua humu watu wanakurupuka tuu ilimradi waonekane wanajua kila kitu..................... Hata Watu 2 tuu wanadhamani sana kwenye kuunda katiba sema CCM ndowanaisi kuwa wao nikila kitu. haya bakini nayo hiyooo #BUNGELAKATIBA mmeachiwa. :fencing:
Kapuya ni mbakaji mzoefu amkumbuki alivyo mbambiaga demu bichi utadhani hana mke, si kiongozi ama hana familia huyu kiongozi hodari wa ccm...kapuya aadhibiwe...
Huyu mzee ni muhuni tangu kitambo.... yeye na familia yake wote awaeleweki hii ni laana ya wale watoto waliokufa kwenye club yake huko Tabora make wameua watu sana huyo binti kupona nimuujiza wa kumuumbua KAPUYA..... MZEE WA WAJUKUU
Sasa ndugu hii hoja yako inaingiliana vipi na yahao vijana walikamatwa huko Mtwara... acha kupoteza mada au wewe ndio mfadhili. Siasa pembeni kwanza slaa ninani kama wakiuwawa watu 10. au wewe uoni kosa hapo....kama hujui kilichotokea mtwara basi soma wengine wana sema nini
Kama wewe ni mwana mke basi alikuzidi kete na akakupora meni na kama wewe ni mwanaume basi ka kumwaga coz umetoka nje ya point au ndo wale wasio weza kumudu mambo wanapo kuwa mahali popote. JIPANGE WEWE ACHA BIFU
Wewe unaogopa nini wakati wananzisha na kumaliza wao hivyo wanajijua tena CCM ndio mapapa wa hili swala na hapa wanatafuta habari mpya kuzima sooo wote mmo mateja wenu wa pale kino mnao waambia kuonja unga wanafunguka mbona na lile dampo la kufundisha mapunda pia linajulikana ipo siku mambo...
Ukifuatilia na yeye yumo kwenye majina hayo so anafanya diffence ... nani atataj bila ushahidi na ushahidi utakamilika lini bunge la mwisho kwa alafu uchaguzi ama lini...... ningependa kusikia kama kuna hoja binafsi unataka kuwasilisha hapo mjengoni tena hoja yenye mashiko.... biashara mnafanya...
Uwezo wa Tanzania kumudu bila EAC nimkubwa tu, tukumbuke miaka ambayo EAC ilivunjwa tanzania nchi hizi zilikuwaje? kwa suala la kuwa na ardhi ya akiba yaweza kuwa faida au yaweza kuwa chanzo cha migogoro kwa nchi wananchama na ndio maana wanatama movement ziongezeke kwa kasi na ukumbuke tanzania...
HE .... DIAMOND mwenyewe namuona ndani ya kipindi HOTMIX cha EATV NOW LIVE .... ingieni kwenye face book page ya EATV mumtwange maswali basi tujue kweli kanyang'anywa hayo ma passport wadau ni www.eastafricatelevision/eatv.tv
Nafrahi wahusika wanapo funguka nakutupa ukweli wa mambo hata tulio gizani tunafunguliwa mwanga ......... Wacha waharibu maisha ya vijana ipo siku yao yaja nawao watalia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.