Acha kutapatapa jisanja baada ya kuona hakuna mtu anayekuunga mkono kwa huu upuuzi ulioufanya hapa. Kama kweli ulikuwa umeicopy sehemu mbona hukutoa tahadhari tangu awali kwamba umeicopy mahali? Kwa jinsi ulivyoiweka ni kama vile wewe ndiye mhusika mwenyewe labda sasa baada ya kuona umekosa...
Yaani wewe ni bwegge sana sijui mwanaume gani unakuwa jingga kiasi hiki.
Mambo yako binafsi uliyofanya na Vick Kamata unatuletea sisi hapa ili iweje kama sio kuonyesha ulivyokuwa na akili fupi? Kama mlikuwa mnapena starehe zenu huku ukiwa umeoa hata hukuona aibu ya kumsaliti mkeo na badala yake...
Kaka/Dada mdondoaji,
Mimi siko hapa kuutetea utakatifu wa Nyerere ama kuukata.Kwani umeniulizamsimamo wangu kuhusu Nyerere? au unataka kuwa msemaji wangu bila idhini yangu? Swali kaulizwa chogo, kama ulikuwa na jibu ungejibu, kwanini uongeze swali juu ya swali? Ima nimekumbuka, watanzania...
Kadri nilivyosoma posts zenu nyingi, nilimuona mtu mmoja tu ndo anachekeshwa, sasa naona na wewe umeanza kuchekeshwa na mmekuwa wawili. Hali hii ya kuchekeshwa ikiendelea mjadala wote utaishia kuwa kichekesho.
Aiseee,
Kweli kabisa, ni hasira za mumewe kushindwa uchaguzi.
Serikali ya JK ilipofikia huitaji kutafuta mchawi, inajifia yenyewe wala huyu mama hana cha kupata wala kupoteza.
Na chadema isipokuwa makini na huyu bwana kuna hatari ya kuvuruga mshikamano uliopo ukonga, anajisifia vijisenti alivyonavyo, tukimuacha aendelee hivi mbele ya safari anaweza kutudai ama kukifisadi chama ili kuzirudisha. Kama ulivyomshauri ni bora apige mahesabu tumrudishie mapema kuliko...
Aweda acha kujifurahisha na kufurahisha forum,
Wewe si mwanasiasa makini kama unavyotaka kuwaaminisha watu.
Bado nakusanya taarifa zako jinsi unavyokiuka kanuni na taratibu za kuendesha chama jimboni ukonga, na zikishakamilika nitarudi hapa hapa kuwaeleza watanzania hususan wapenzi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.