Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
Huyu mama namkubali sana, hamumunyi maneno, Chanachana mbaya Luhanjo, kumbe kajaza wabena wasio na sifa Maliasili na mbaya zaidi yule mkurugenzi wa wanyamapori ni mbena na sifa hana mama kamwambia waazi kabisa amtoe na aache tabia yake ya kuweka watu, kumbe wale wanyama 116 na dege la jeshi Quatar ni maagizo tu. Tuambiwe tu ilikuwa zawadi kwa nani, Ni mimi Violet Luhanjo afisa sheria BOT usiulize tangazo la kazi kwani ulifikiri ni nafasi yako?