Ukitumia sehemu ndogo tu ya ubongo wako utagundua kwamba Putin snapambana na Ulaya na Marekani, hakuna mfanano wowote kati ya vita vya Ukraine na maigizo ya Marekani na Venezuela.
Jambo lolote ni siri pale tu linapokuwa moyoni mwako. Ukimweleza mtu wa pili sio siri tena, utategemea huyo mtu akuhifadhi. Siri ni ile tu ambayo wewe binafsi una udhibiti nayo, sio kutegemea mtu mwingine akufichie.
Kwani huu mfumo wa kisiasa uliopo ulianza na kina chifu Mkwawa? Huoni kuwa asili yake ni hao hao wakoloni? Elimu, afya, sayansi na teknolojia vilianzishwa na Mwanamalundi? Hoja ya uwepo wa Mungu imeletwa na wakoloni, lakini pia hoja kwamba hakuna Mungu imeanza na hao hao. Kwa hiyo ni kutofikiri...
Hawa makolo ni vigagula promax. Tayari ukweli umebainika. Wakiwa pembeni wanatamba mwarabu hana timu ya kuwazuia, lakini ona sasa, wanalilia kuruhusiwa wakaloge. Hali inaonekana ni mbaya hadi wameamua kujianika wazi wazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.